Kama ni hivyo basi sheria zetu pia bado zinamapungufu
Kwani abiria ni nani? kisheria
Ni tatizo kwakweli ina maana madereva wa mabasi ya shule hawana class C ?
Uwiiii Mungu wangu [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]