Magari ya kubebea wanafunzi ni janga la taifa

wengi wao hawana labda vibabu vilivyostaafu udereva vinakuwa vinapiga daiwaka, kikifikisha watoto kinapiga uji kinachapa usingizi kwenye gari
 
wengi wao hawana labda vibabu vilivyostaafu udereva vinakuwa vinapiga daiwaka, kikifikisha watoto kinapiga uji kinachapa usingizi kwenye gari
Madereva wengi ni sawa tu wana leseni "feki" Wengi hatujui alama za barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…