Magari ya Nissan

Magari ya Nissan

empress

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
39
Reaction score
19
Wapendwa wenye uzoefu wa magari naomba mnijuze magari ya Nissan yana tatizo gani...nimekuwa nikiambiwa nisijaribu kununua gari ya Nissan lolote kwani litanisumbua ninunue tu kampuni ya Toyota.sijajua tatizo ni nini..

Mimi kuna gari la Nissan Primera nalipenda na ninatamani kulinunua ila nimeambiwa magari yote ya Nissani kipengele,nimewauliza hao wanaosema hivyo kama wamewahi kumiliki Nissan wanasema na wao waliambiwa hivyo..so nimeona nisije nikaacha kitu cha maana kwa ajili ya maneno ya kuambiwa..

Maana akili za kuambiwa,changanya na zako[emoji16]

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
Wapendwa wenye uzoefu wa magari naomba mnijuze magari ya Nissan yana tatizo gani...nimekuwa nikiambiwa nisijaribu kununua gari ya Nissan lolote kwani litanisumbua ninunue tu kampuni ya Toyota.sijajua tatizo ni nini..Mimi kuna gari la Nissan Primera nalipenda na ninatamani kulinunua ila nimeambiwa magari yote ya Nissani kipengele,nimewauliza hao wanaosema hivyo kama wamewahi kumiliki Nissan wanasema na wao waliambiwa hivyo..so nimeona nisije nikaacha kitu cha maana kwa ajili ya maneno ya kuambiwa..maana akili za kuambiwa,changanya na zako[emoji16]

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Wabongo wanaclaim tu, hayana tatizo
 
Wapendwa wenye uzoefu wa magari naomba mnijuze magari ya Nissan yana tatizo gani...nimekuwa nikiambiwa nisijaribu kununua gari ya Nissan lolote kwani litanisumbua ninunue tu kampuni ya Toyota.sijajua tatizo ni nini..Mimi kuna gari la Nissan Primera nalipenda na ninatamani kulinunua ila nimeambiwa magari yote ya Nissani kipengele,nimewauliza hao wanaosema hivyo kama wamewahi kumiliki Nissan wanasema na wao waliambiwa hivyo..so nimeona nisije nikaacha kitu cha maana kwa ajili ya maneno ya kuambiwa..maana akili za kuambiwa,changanya na zako[emoji16]

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Nimekua na nissan sunny, skyline, March na extrail sikupata shida ya kutisha...kufuatilia services zake tu ndio muhumu.
 
Nissan ni nzuri na imara sana.
HAKUNA spair za kunjuga kama Toyota. Spair ni gharama sana ndio maana rafiki zako walikuwambia usinunue hiyo Gari. Lakini ukifunga umemaliza mchezo.
asante sanaa mkuu...mnanisaidia mno kufanya maamuzi based on experience na ukwelu na siyo tu myth na uzushi

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
na mimi nimekumbuka mzee wangu aliwahi kuwa na Nissan Sunny hata yeye kaniambia hakuona shida yoyote ambayo hajaiona kwenye toyota,ni kufanya service kwa wakati na matunzo mengine....shukrani sana mkuu

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
asante sana mkuu...hili nalo neno..nimesikia spea ziko juu kiaina lakini siyo kiviiile...siyo kwamba eti zomepishana saaana na za toyota...

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
Hata toyota kuna magari mabovu mengi sana yapo gereji ,nissan forever hakuna ubaishaji very coftable ,stability and good fuel consuption
asante sana mkuu kwakweli mpaka hapa nimepata uhakika wa nini cha kufanya...comments zenu zimenisaidia na kunifungua ufahamu sana...maana nimeaminishwa hivyo for years na mimi ningeaminisha hata wengime,kumbe viti si vya kweli

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
Nissan ukinunua ni ndoa ya kikirsto

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
hahahaha unajua shida ni hii hii ambayo nimeiulizia hapa,watu hawawezi kununua Nissan sababu tumeaminishwa vitu negative kiasi kwamba hata utakapoinunua,kuiuza ni kipengele hainunuliki kiurahisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naweza nikakuuliza kama umewahi kumiliki na kujaribu kuiuza,jibu utaniambia hapana ila uliwahi kuambiwa hivyo

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
 
hahahaha unajua shida ni hii hii ambayo nimeiulizia hapa,watu hawawezi kununua Nissan sababu tumeaminishwa vitu negative kiasi kwamba hata utakapoinunua,kuiuza ni kipengele hainunuliki kiurahisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naweza nikakuuliza kama umewahi kumiliki na kujaribu kuiuza,jibu utaniambia hapana ila uliwahi kuambiwa hivyo

Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Kwa nini ununue Gari na kuiuza?
Wewe ni muuza magari? huu woga wa kusema ukitaka kuuza unatoa wapi na ili iweje. Usizoee kuuza vitu vyako. Ni heri ukampa mtu kuliko kuuza.
 
Wataalam wanasema hakikisha unatumia spare original kwa Nissan je nitajuaje kama hii ni original? Kwa mfano oil filter ziko nyingi zimeandikwa Nissan genuine spare lakini ni feki. Na muuzaji anaweza kuweka bei juu ili kukuingiza maboya akasema ni original
 
Back
Top Bottom