Magari ya serikali yana bima?

Magari ya serikali yana bima?

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,342
Wanajamvi, napenda kujua kama vyombo vya moto vinavyomilikiwa na serikali, iwe vya nchi kavu au majini kama hukatiwa/vina bima ya ajali/moto au aina nyingine ya bima.

Pia gari za jeshi.
 
Back
Top Bottom