Magari ya taka yavute vyoo usiku na sio mchana

Magari ya taka yavute vyoo usiku na sio mchana

Sozo_

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
776
Reaction score
1,132
Wadau hii imekuwa kero, mtu umekaa mahali unapata chakula unasikia harufu mbaya na kuanza kuhisi kuna mtu amepumua. Baadaye unagundua ni gari linavuta choo kwa jirani.

Kwanini magari haya yasiwekewe utaratibu yawe yanavuta usiku, nasema usiku kwa sababu kunakuwa na idadi kubwa ya watu wamepumzika na kunakuwa na shughuli chache.

Nawasilisha
 
Wadau hii imekuwa kero, mtu umekaa mahali unapata chakula unasikia harufu mbaya na kuanza kuhisi kuna mtu amepumua. Baadaye unagundua ni gari linavuta choo kwa jirani.
Kwanini magari haya yasiwekewe utaratibu yawe yanavuta usiku, nasema usiku kwa sababu kunakuwa na idadi kubwa ya watu wamepumzika na kunakuwa na shughuli chache.
Nawasilisha
Akili hio hawana
 
Wadau hii imekuwa kero, mtu umekaa mahali unapata chakula unasikia harufu mbaya na kuanza kuhisi kuna mtu amepumua. Baadaye unagundua ni gari linavuta choo kwa jirani.
Kwanini magari haya yasiwekewe utaratibu yawe yanavuta usiku, nasema usiku kwa sababu kunakuwa na idadi kubwa ya watu wamepumzika na kunakuwa na shughuli chache.
Nawasilisha
Unataka watu wafie usingozini wewe
 
Wapi huko mkuu unakoishi, kwani hiyo sehemu haina underground sewage systems?,Ile systems tulizorithi kwa wakoloni zimepata matatizo gani?au kama kawaida yetu tunakimbilia huku kupata majibu rahisi, sanitations service ni haki yetu kikatiba,tusikimbilie sheria rahisi wakati sheria zipo, huwezi jenga kama sehemu hiyo haina huduma hii,ni wajibu wa serikali kupeleka kwanza services hizi kabla haijapima viwanja vya ujenzi
 
Wapi huko mkuu unakoishi, kwani hiyo sehemu haina underground sewage systems?,Ile systems tulizorithi kwa wakoloni zimepata matatizo gani?au kama kawaida yetu tunakimbilia huku kupata majibu rahisi, sanitations service ni haki yetu kikatiba,tusikimbilie sheria rahisi wakati sheria zipo, huwezi jenga kama sehemu hiyo haina huduma hii,ni wajibu wa serikali kupeleka kwanza services hizi kabla haijapima viwanja vya ujenzi
Naona hujanielewa, mashimo ya choo tunayo majumbani mwetu na mahali tunafanyia shughuli zetu...
 
Napenda kujifunza zaidi, kwanini hatufi mchana?
Washa jiko la mkaa usiku kucha chumbani kwako unakolala siku ya kwanza kaa macho hadi ahsubuhi kisha siku ya pili washa tena jiko la mkaa usiku kucha hapo hapo room kwako kisha lala
Ukiamka kesho yake tuletee majibu
 
Washa jiko la mkaa usiku kucha chumbani kwako unakolala siku ya kwanza kaa macho hadi ahsubuhi kisha siku ya pili washa tena jiko la mkaa usiku kucha hapo hapo room kwako kisha lala
Ukiamka kesho yake tuletee majibu
Sitaamka kabisa 😀
Ila naona la kuvuta vyoo ni tofauti kabisa
 
Naona hujanielewa, mashimo ya choo tunayo majumbani mwetu na mahali tunafanyia shughuli zetu...
Nimekuelewa mkuu ,labda maelezo yangu hutujaelewana,bottom line hatutakiwi tuwe na pit hole kwenye miji yetu, vyoo vinatakiwa viwe vya flush one, magari ya kunyonya uchafu huu hayatakiwi kuonekana, unaingia kwenye toilet, you do no 2 una flush, uchafu unaingia kwenye sewage systems, unapelekwa kwenye sehemu unachujwa na kusafishwa na kuwa treated, na process hii inakupatia maji Safi na yanazungushwa tena,let's wake up guy's, we need better service than this, maeneo ya posta hadi magogoni kule huwezi kuona Choo ya shimo, why ?simple kuna underground sewage systems
 
Nimekuelewa mkuu ,labda maelezo yangu hutujaelewana,bottom line hatutakiwi tuwe na pit hole kwenye miji yetu, vyoo vinatakiwa viwe vya flush one, magari ya kunyonya uchafu huu hayatakiwi kuonekana, unaingia kwenye toilet, you do no 2 una flush, uchafu unaingia kwenye sewage systems, unapelekwa kwenye sehemu unachujwa na kusafishwa na kuwa treated, na process hii inakupatia maji Safi na yanazungushwa tena,let's wake up guy's, we need better service than this, maeneo ya posta hadi magogoni kule huwezi kuona Choo ya shimo, why ?simple kuna underground sewage systems
Nimekuelewa sasa, unafikiri kwa jamii zetu za Kitanzania wangapi wamefanya hivyo na wanaelewa hili? Ni wachache sana, vyoo vingi ni vya kawaida.
 
Sehemu nyingi siku hizi kama huku Arusha hayo mambo yanaanza kupotea. Kuna mfumo wa maji taka wa moja kwa moja wanajenga sewage systems ukikata gogo linaenda moja kwa moja Nadosoito.
 
Nimekuelewa sasa, unafikiri kwa jamii zetu za Kitanzania wangapi wamefanya hivyo na wanaelewa hili? Ni wachache sana, vyoo vingi ni vya kawaida.
Now mkuu tunaweza kujadili what's went wrong, mitaa ya kariakoo tuliirithi ikiwa na systems hii,imepangwa vyema na kila mkazi alikua anajua lini gari ya kuchukua uchafu itapita mtaa wake,now nini kimeisibu kariakoo hii ya sasa kuonekana kama squatter township fulani?,kabla ujenzi wa makazi haujaanza ni wajibu wa serikali kujiridhia kwanza na kupeleka huduma hizi za sanitation, barabara, shule, etcra ndio viwanja vipimwe, kwa sasa ni shida why miji yetu iwe na vyoo vya shimo?,unasafiri Dar to Songea, in the middle of nowhere driver anasimamisha bus na abiria wanaingia porini to do no 1&2 porini!why tusijenge vituo njiani venue flush toilets?
 
Back
Top Bottom