Tetesi: Magari ya Toyota kutengenezwa Tanzania

Halafu huu msemo WATU HATUNA HELA alaaniwe alieuleta/anzisha!..
Toyota wakileta kiwanda hawataangalia watz million 40 kununua wanaangalia ukanda wa afrika mashariki na kati. Huna hela nunua baiskeli huna hela panda daladala!..
By the way gari zitakua bei cheap zikitengenezwa hapa hapa!..Usinambie bei ya azam cola Tz ni sawa na Congo/malawi.
INAKERA!..
 
Mpango wa kujenga assembling plant ulikuwepo toka 2015 (sina uhakika kama muafaka ulifikiwa). Walitaka kuanza ku-assemble magari ya cc 2000 na kushuka chini....
 
Sipandi humo hivi kale hata kakiwanda ka baiskeli swala au kapikipiki mfano wa boxer kakowapi
 
Nataona kama itafika itafika kwetu mwisho wa reli ngoja itengenezwe pengine wabongo wasihusike mpaka mlinzi
 
Kwenye material naona kuna kitu hukijuh mkuu, hizo vitu hutolewa Africa
 
Umewahi kufuatilia ni kwanini tunanunua used kwa bei juu sana na baadhi ya hayo malori na mabasi mapya baadhi wana mudu!
 
TBL inakufa kwa kukosa wateja, Toyota wataweza kweli kufanya biashara kwenye nchi ambayo purchasing power iko very low?
Kwani umeambiwa yatatengenezwa special kwa Tz tu? Khaaaa wa Tz noma sana...umesahau kuwa kuna nchi jirani zitakuja kununua hizo gari hapa TZ?
 
Swali zuri. Maana jamaa kasema ni tetesi halafu akashusha povu utafikiri ana uhakika.
. Anapinga utafikiri kiwanda kinajengwa na serikali. Huyu mtu wa ajabu sana anapingaje mjapani binafsi anayejenga kiwanda kwa pesa zake asije?. Pesa ni yake. Huu uchambuzi wake ni uchambuzi koko. Unazuiaje mtu mwekezaji binafsi asije?
 
Sinajinasasa! Umesema vema ww ni mpenzi was Mungu. Bora waje wafilipino kuwekeza viwanda vya filamu na massage centres.kuliko hapo TOYOTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…