Magari ya Ujerumani Volkswagen T ROC

Hansi willium

New Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
4
Reaction score
6
Samahani kwa usumbufu hapa kidogo naomba niulize swali hapa kwa wale unaojua. Nataka ni nunue Volkswagen t roc 2018 hii gari ni nzuri san imetulia na ulaji wake wa mafuta ni wakawaida san sasa nilikuwa natak ushaur wenu kwa mafundi au kwa wale wazoefu wa magari unaweza nishauri chochote.
 
Kama umeipenda nunua Tu mkuu ,
Kuhusu mafundi wa magari ya ulaya wapo japo sio wengi Sana

Kikubwa gari ni service mara Kwa mara , kuweka oil inayotakiwa , hakika gari itadumu Sana

Ushauri wangu ,kama unataka kumiliki gari ya ulaya hakikisha unamjapani wako pembeni siku ikikataa safari unatembea na mjep
 
Volkswagen ni kama Toyota Kwa ujerumani ni gari inayoaminika duniani hata ishu za mafundi sikuhizi wapo kama upo DAR hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…