njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Wewe kama sio kiongozi basi ni mtoto au mchepuko wa kiongoziView attachment 2015208Nimeona magari mengi ya waheshimiwa wetuyansikitisha sana jamani,hivi wananchi wa TANZANIA mnakubali vipi watu wasiolala kwa ajili yetu,,waliojitolea maisha yao kwa ajili yetu waendeshwe kwenye magari ya hovyohovyo?
Siyo heshima kwa nchi, na suggest itengwe hata trillion 1 ishushe new models za uhakika kwa wapendwa viongozi wetu ili waweze kukutumikia kwa ufasaha kabisa,iwe mwisho kutumia magari ya model za zamani
kitu hiki hapa bana 2021 model,kuanzia ma DED, ma DC ma RC hadi ngazi za juu wapewe hizi banaaaa
Kama passo inakushinda kumiliki, hilo dude hata ukipewa bure utalitupa ndani ya miezi 6.Hizo watuuzie sisi kwa bei ya kutupa, depreciation matters!
Unalosema ni la msingi sana,ila ni lazima uwe na macho ya kuona mbali ndio mtu atakuelewa,magari yakisha chakaa gharama za maintanance huwa zinapanda maradufu,ni bora ya kuingia gharama ya kununua mapya mara moja halafu mnakaa miaka hata 6 au saba bila ya kununua mengine...View attachment 2015208Nimeona magari mengi ya waheshimiwa wetuyansikitisha sana jamani,hivi wananchi wa TANZANIA mnakubali vipi watu wasiolala kwa ajili yetu,,waliojitolea maisha yao kwa ajili yetu waendeshwe kwenye magari ya hovyohovyo?
Siyo heshima kwa nchi, na suggest itengwe hata trillion 1 ishushe new models za uhakika kwa wapendwa viongozi wetu ili waweze kukutumikia kwa ufasaha kabisa,iwe mwisho kutumia magari ya model za zamani
kitu hiki hapa bana 2021 model,kuanzia ma DED, ma DC ma RC hadi ngazi za juu wapewe hizi banaaaa
GreatWamekusikia kuanzia januari utaanza kuziona zile land cruiser 300 series