Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Tuanaweza vipi kuafford? Unaambia utoe lita 180 ili mgonjwa wako afike hospitali ya rufaa?
Hili la kwenye matenga ulichomoa kwa kug'aka huko Tunduru.
Lakini ukweli ni kuwa hili ni tatizo sugu. Magari ya Wagonjwa bila kuchangia hupati huduma. Sijui labda kwa unakaa mjini Dar.
Ila mimi najua huwa tunaambiwa kuchangia mafuta kulingana na umbali mgonjwa anapelekwa. Nyie mliosahau haya mambo endeleeni kula bata.
Hili la kwenye matenga ulichomoa kwa kug'aka huko Tunduru.
Lakini ukweli ni kuwa hili ni tatizo sugu. Magari ya Wagonjwa bila kuchangia hupati huduma. Sijui labda kwa unakaa mjini Dar.
Ila mimi najua huwa tunaambiwa kuchangia mafuta kulingana na umbali mgonjwa anapelekwa. Nyie mliosahau haya mambo endeleeni kula bata.