Magari yamegongana Iwambi Mbalizi Mbeya, moja imewaka moto

Magari yamegongana Iwambi Mbalizi Mbeya, moja imewaka moto

Hayo magari matano ni madogo au!? Si kunakuwa na zamu
Maranyingi magari madogo kutoka chini kule yakiachiwa (baada ya nusu saa) huwa yanayakuta malori bado yanadema dema kupanda mlima haswa kama kuna breakdown katikati au kuna gari la mizigo ambalo halina nguvu vizuri. Inabaki kazi ya daladala na private cars kuovertake wakati malori yamejipanga yanamsindikiza mwenzao😂😂
 
Maranyingi magari madogo kutoka chini kule yakiachiwa (baada ya nusu saa) huwa yanayakuta malori bado yanadema dema kupanda mlima haswa kama kuna breakdown katikati au kuna gari la mizigo ambalo halina nguvu vizuri. Inabaki kazi ya daladala na private cars kuovertake wakati malori yamejipanga yanamsindikiza mwenzao😂😂
Hawa wa daladala.wakiachiwaga ndio wanakuwaga kama vichaa wanakurupukaga kuwawahi abiri pale kituo cha iwambi na vituo vingine vya.mbele
 
Hawa wa daladala.wakiachiwaga ndio wanakuwaga kama vichaa wanakurupukaga kuwawahi abiri pale kituo cha iwambi na vituo vingine vya.mbele
Yeah wanawahi Fasta Iwambi na pale kwa Ester /Waya &JB
 
Back
Top Bottom