Magari yanayotumia mawimbi ya redio yanakwenda kuua biashara ya mafuta, gesi na umeme

Magari yanayotumia mawimbi ya redio yanakwenda kuua biashara ya mafuta, gesi na umeme

Ngoja tuone tukiletewa used for 15m to 30m kama sasa ....yaliyo mengi...nadhani tutanunuaaa....2030 huko kwenda mbele
Hatutaweza. Unajua hata vituo vya mafuta bado kuna maeneo havijafika mpaka sasa ni 2025.

Sasa Charging station za hayo magari, labda kila mwenye nalo ajenge yake nyumbani kwake.

Sioni uwezekano wa kumiliki hayo magari.

Luku za nyumba bado kwa uchumi wetu ni shida, Gharama za umeme wa ku charge gari itakuwa balaa.
 
Kiasi cha nishati inayohitajika kuendesha gari ...
Kiasi cha nishati inayohitajika kwa gari

Nguvu ya umeme inayozalishwa = ...

Nguvu ya umeme inayozalishwa = ....
Nishati haizalishwi, inabadilika kutoka form moja kuwa nyingine (moja au kadhaa).
Energy is neither created nor destroyed - Principle of conservation of Energy

Hayo mawimbi ya redio yapo katika form gani na kubadilishwa kuwa electrical halafu then mechanical energy?
 
Hatutaweza. Unajua hata vituo vya mafuta bado kuna maeneo havijafika mpaka sasa ni 2025.

Sasa Charging station za hayo magari, labda kila mwenye nalo ajenge yake nyumbani kwake.

Sioni uwezekano wa kumiliki hayo magari.

Luku za nyumba bado kwa uchumi wetu ni shida, Gharama za umeme wa ku charge gari itakuwa balaa.
Hahahahhaa zimeanzanpikipiki ziko kibao sasa una charge home tu kawaida....sijajua magari kama yatahitaji special charging station.....ila muda unakimbiaa
 
Nishati haizalishwi, inabadilika kutoka form moja kuwa nyingine (moja au kadhaa).
Energy is neither created nor destroyed - Principle of conservation of Energy

Hayo mawimbi ya redio yapo katika form gani na kubadilishwa kuwa electrical halafu then mechanical energy?
Umesoma Advanced Physics vizuri?
 
Teknolojia ikikua zaidi inakuza uchumi zaidi​
KUKUZA UCHUMI AMA KUZIGEUZA KONSTRAKTI ZA UCHUMI

Tekinolojia ya Umeme kutoka NUkta Sifuri, Uvumbuzi wa kama akina Chikumbutsu, unaweka watu wote wa Intelijensia na mikakati dawatini na kuchora kila kitu upya--kama walikuwa hawajajiandaa katika nchi-dola zao...

Anayekuwa na kule ku-JUA vema kuhusu mapelekeo ya haya ya kinishati, nishati nukta sifuri na uvunaji wa nishati mbadala nyingine, basi yeye ndiye anaweza kuwa na mitigati za kutikiswa kwa statusi kwou.

Kiukweli khasa wa mambo, mavumbuzi haya siyo mapya... Nchi zote kubwa wanasehemu ya miradi yao ya uwani, mambo ya Tafiti&Maendelesho, ambavyo kila namna ya suluhu tayari zipo hapa Duniani...

Tekinolojia na UJAZI ndiyo sasa zinapata kibali kuvujishwa kwa mapana ya jamii na stawi; lakini hili linafungamana na hitaji la kuchochea mageuzi ya kimifumo ya maisha na uwajibikaji sahihi wa kiraia.

Kwa sehemu kubwa, hili linakwenda kuhitaji umma wenyewe ujitetee kwa kubadilisha 'fikra na mawazo yao' kuhusu mifumo mushkeli ambayo imekuwa inawatawala na bado ingali kuwatawala hata sasa.

Kitu vingi katika maisha haviko sawa, japo wanajamii wamepumbuzika na basi kuviona ni sawa--kuishia kuishi kwa shida na raha kana vile ni 'Mapenzi ya Mungu'... Mojawapo ni mifumo ya fedha, uzalishaji mali na umiliki wa mali...

Hili linakwenda kubadilika sana ndani ya miaka 25 ijayo...

Kiufundi hili linatukumbusha, muda umewadia wakufikiria maisha 'kitekinokrasia na meritokrasia' badala ya politiki/siasa; mambo ya siasa za hadaa kati ya mambo ya watawala na watawaliwa...

Hii ina maana, yeyote anayependa na kutaka kusafiria 'Nyota za Wengine' kwa ujasiria-mifumo, mifumo ya watu waliojaa kwenye mifumo ya kujiziuka/kujitoa ufahamu/kujizima data, ana kibarua kigumu cha changamoto ya mabadiliko ya tabia, akili, fahamu na utambuzi katika wanajamii--changamoto inayokwenda kuwa 'dhahiri na dhahiri zaidi' ndani ya miaka hii 25 ijayo kote duniani...

Unapofikiria kuhusu NIshati na Uchumi kwenye mwelekeo wa jami iliyo na ule UJAZI wa mbinu za kazi na utendaji basi ndiyo likukumbushe 'fedha' na 'mali' vinakwenda kuchukua 'uthamani tofauti'... Tunakokwenda, mambo ya fedha, majumba na mali yanakwenda kuwa 'vitu vya kawaida' sana... Si mambo ya 'fimbo/bakora ya kuchapia' wengine--mambo ya malingishiano na 'kutengeneza sifa' mbele za wengine...

Kwa hivyo tunaelekea aina ya uchumi tutakaouita ni 'UCHUMI MAMA'...

UCHUMI MAMA, ni namna uchumi usifanania na 'Mifumo Dume'... Uchumi wa sasa ni utundu wa kimifumo dume kupitia 'Fedha na Mifumo Mushkeli ya Utaratibu wa Mikopo, Riba na Uhuni wake'...

Hili litukumbushe sote, Uchumi Mama unasubiri tu Umma wenyewe Ujielewe na Kujitambua; siyo mambo ya kusubiri walio madarakani wazibadilishe sera na sheria eti ili kuyaleta 'mabadiliko'...

Popote pale ambapo wanajamii wanaweka 'imani kubwa kwa watawala', imani ya upofu wa kudhamiria/Unafiki ama kutodhamiria, na tena pasipo uwajibikaji sahihi wa kiraia basi hao watachelewa kujinasua na mifumo mibovu ya maisha na tawala hapa Duniani...

Wanajamii wanaouwezo kamili wa kukataa mifumo isiyowafaa ya fedha, mali na uzalishaji mali; na katika hili wao si watu wakusubiri fadhila za waliopo madarakani ama vinara wa njia kuu za uchumi wa kileo, tuseme 2025.... Basi ndiyo yawa, wao wenyewe inawapasa waoneshe njia ya kujikwamua na adha mbaya za uchumi wa kileo kwa kujipanga kitaasisi mpya za maendeleo ya Jamii zao...

Nishati nukta sifuri, nje ya kudhani ni jambo ya manufaa ya kiuchumi kichoyo, ni jambo linalotutaka kufikiria upya kuhusu utendaji na shughuli zenye kulenga moja kwa moja ujenzi wa jamii ya kijamaa na kujitegemea... Kiufundi, maarifa ya kazi na kujitosheleza katika uhitaji wetu wa kila siku ndilo shauri tunaloliendea...

Haya mambo yanataka akili, utambuzi na mafahamu ya wanajamii wote yaanze kuchangamka...

Hakuna shule yoyote hata sasa ulimwenguni iliyowandaa kikamilifu wanajamii na mageuzi haya makubwa Duniani yanayokuja kwa NIshati Nukta Sifuri na Matumizi ya Akili Bandia...

Kujiongeza ni lazima...

Hmmm​
 
KUKUZA UCHUMI AMA KUZIGEUZA KONSTRAKTI ZA UCHUMI

Tekinolojia ya Umeme kutoka NUkta Sifuri, Uvumbuzi wa kama akina Chikumbutsu, unaweka watu wote wa Intelijensia na mikakati dawatini na kuchora kila kitu upya--kama walikuwa hawajiandaa katika nchi-dola zao...

Anayekuwa na kule ku-JUA vema kuhusu mapelekeo ya haya ya kinishati, nishati nukta sifuri na uvunaji wa nishati mbadala nyingine, basi yeye ndiye anaweza kuwa na mitigati za kutikiswa kwa statusi kwou.

Kiukweli khasa wa mambo, mavumbuzi haya siyo mapya... Nchi zote kubwa wanasehemu ya miradi yao ya uwani, mambo ya Tafiti&Maendelesho, ambavyo kila namna ya suluhu tayari zipo hapa Duniani...

Tekinolojia na UJAZI ndiyo sasa zinapata kibali kuvujishwa kwa mapana ya jamii na stawi; lakini hili linafungamana na hitaji la kuchochea mageuzi ya kimifumo ya maisha na uwajibikaji sahihi wa kiraia.

Kwa sehemu kubwa, hili linakwenda kuhitaji umma wenyewe ujitetee kwa kubadilisha 'fikra na mawazo yao' kuhusu mifumo mushkeli ambayo imekuwa inawatawala na bado ingali kuwatawala hata sasa.

Kitu vingi katika maisha haviko sawa, japo wanajamii wamepumbuzika na basi kuviona ni sawa--kuishia kuishi kwa shida na raha kana vile ni 'Mapenzi ya Mungu'... Mojawapo ni mifumo ya fedha, uzalishaji mali na umiliki wa mali...

Hili linakwenda kubadilika sana ndani ya miaka 25 ijayo...

Kiufundi hili linatukumbusha, muda umewadia wakufikiria maisha 'kitekinokrasia na meritokrasia' badala ya politiki/siasa; mambo ya siasa za hadaa kati ya mambo ya watawala na watawaliwa...

Hii ina maana, yeyote anayependa na kutaka kusafiria 'Nyota za Wengine' kwa ujasiria-mifumo, mifumo ya watu waliojaa kwenye mifumo ya kujiziuka/kujitoa ufahamu/kujizima data, ana kibarua kigumu cha changamoto ya mabadiliko ya tabia, akili, fahamu na utambuzi katika wanajamii--changamoto inayokwenda kuwa 'dhahiri na dhahiri zaidi' ndani ya miaka hii 25 ijayo kote duniani...

Unapofikiria kuhusu NIshati na Uchumi kwenye mwelekeo wa jami iliyo na ule UJAZI wa mbinu za kazi na utendaji basi ndiyo likukumbushe 'fedha' na 'mali' vinakwenda kuchukua 'uthamani tofauti'... Tunakokwenda, mambo ya fedha, majumba na mali yanakwenda kuwa 'vitu vya kawaida' sana... Si mambo ya 'fimbo/bakora ya kuchapia' wengine--mambo ya malingishiano na 'kutengeneza sifa' mbele za wengine...

Kwa hivyo tunaelekea aina ya uchumi tutakaouita ni 'UCHUMI MAMA'...

UCHUMI MAMA, ni namna uchumi usifanania na 'Mifumo Dume'... Uchumi wa sasa ni utundu wa kimifumo dume kupitia 'Fedha na Mifumo Mushkeli ya Utaratibu wa Mikopo, Riba na Uhuni wake'...

Hili litukumbushe sote, Uchumi Mama unasubiri tu Umma wenyewe Ujielewe na Kujitambua; siyo mambo ya kusubiri walio madarakani wazibadilishe sera na sheria eti ili kuyaleta 'mabadiliko'...

Popote pale ambapo wanajamii wanaweka 'imani kubwa kwa watawala', imani ya upofu wa kudhamiria/Unafiki ama kutodhamiria, na tena pasipo uwajibikaji sahihi wa kiraia basi hao watachelewa kujinasua na mifumo mibovu ya maisha na tawala hapa Duniani...

Wanajamii wanaouwezo kamili wa kukataa mifumo isiyowafaa ya fedha, mali na uzalishaji mali; na katika hili wao si watu wakusubiri fadhila za waliopo madarakani ama vinara wa njia kuu za uchumi wa kileo, tuseme 2025.... Basi ndiyo yawa, wao wenyewe inawapasa waoneshe njia ya kujikwamua na adha mbaya za uchumi wa kileo kwa kujipanga kitaasisi mpya za maendeleo ya Jamii zao...

Nishati nukta sifuri, nje ya kudhani ni jambo ya manufaa ya kiuchumi kichoyo, ni jambo linalotutaka kufikiria upya kuhusu utendaji na shughuli zenye kulenga moja kwa moja ujenzi wa jamii ya kijamaa na kujitegemea... Kiufundi, maarifa ya kazi na kujitosheleza katika uhitaji wetu wa kila siku ndilo shauri tunaloliendea...

Haya mambo yanataka akili, utambuzi na mafahamu ya wanajamii wote yaanze kuchangamka...

Hakuna shule yote hata sasa ulimwenguni iliyowandaa kikamilifu wanajamii na mageuzi haya makubwa Duniani yanayokuja kwa NIshati Nukta Sifuri na Matumizi ya Akili Bandia...

Kujiongeza ni lazima...

Hmmm​

Dunia inahitaji matumizi Makubwa ya akili ili kuendelea Ku-exist.
 
Hivi hadi leo karne hii kuna mtu anaamini kuwa biashara ya mafuta itaenda kufa? MAFUTA kweli?
 
Dunia inahitaji matumizi Makubwa ya akili ili kuendelea Ku-exist.​
SAHIHI

Basi ndiyo inataka sisi wote tusaidiane kupeana mwangaza...

Hili likituingia vema akilini na moyoni, hata tabia, nidhamu na utendaji wetu unakwenda kubadilika...

Kwa mfano, mambo yote ya 'Siasa za Mkumbo' na 'Udomoghasia' ni ishara la 'kujaa kwenye mfumo'...

Tunaweza kuibadili mifumo kwa nidhamu na vitendo vinavyokadirisha 'Ushawishi Ulio Bora'...

Sisi kuwa Chumvi na Nuru ya Ulimwengu...

Nuru huleta maarifa zaidi, dhamira zetu zitadhihiri 'Upotofu wetu' ama 'Kuongozeka Vema'...

Kila mtu, anachagua njia yake wakati wowote na popote pa utendaji wake--na basi anaubeba mzigo wake yeye mwenyewe....

Hmmm​
 
Haya magari ya mzimbabwe ni jenereta pia. Mchana gari usiku linakuwa jenereta. Nasikia ana hadi tv inatumia hayo manishati badala ya umeme.
 
Nitakua mtu wa mwisho kuamini hizo 'fix' za mzimbabwe
Hata kama ni kweli, kubadili mifumo ambayo watu wameshawekeza Trilions si jambo rahisi. Watakuua kabla hujafika popote.
 
Hata kama ni kweli, kubadili mifumo ambayo watu wameshawekeza Trilions si jambo rahisi. Watakuua kabla hujafika popote.
Jamaa walitaka kum assissnate two times,
Now mchina anajenga kiwanda zimbabwe.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hata kama ni kweli, kubadili mifumo ambayo watu wameshawekeza Trilions si jambo rahisi. Watakuua kabla hujafika popote.

Hii story haina tofauti na ile ya babu wa loliondo. Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom