Magati ya Bandari yetu yapewe majina na moja liitwe Gati la Mwabukusi

Magati ya Bandari yetu yapewe majina na moja liitwe Gati la Mwabukusi

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Huyu mwamba Boniface Mwabukusi, Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake! Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli!

Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times!

Mbona tuna Wodi ya Mwaisela pale Muhimbili? Kuna ubaya gani tukiwa na Gati namba 1 la Mwabukusi pale Bandarini?

Wazalendo wenzangu naombeni maoni yetu kwenye hili. Wana CCM wenzangu kama kama akina Jerry Silaa na vilaza wengine please desist from giving your opinion on this!
 
hayo ni maoni yako, sisi tumeamua kuyaita magati ya sultan.
ovaa
Wewe ni mmoja wa vilaza wa CCM yetu! Hata desist hujui maana yake!
Ndo nyie mnatafsiriwa mkataba wa Bandari na Wassira na Sofia Mjema ( Mwenezi Taifa).
Bandari haijauzwa kwa kuwa haijawekwa kwenye Kiroba ( By Sofia Mjema - Mwenezi CCM Taifa).
 
Huyu mwamba Boniface Mwabukusi ,Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake!

Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli!

Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times!

Mbona tuna Wodi ya Mwaisela pale Muhimbili?!
Kuna ubaya gani tukiwa na Gati namba 1 la Mwabukusi pale Bandarini?

Wazalendo wenzangu naombeni maoni yetu kwenye hili.

Wana CCM wenzangu kama kama akina Jerry Silaa na vilaza wengine please desist from giving your opinion on this!
Naunga mkono HOJA 🙏🙏
 
Huyu mwamba Boniface Mwabukusi ,Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake!

Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli!

Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times!

Mbona tuna Wodi ya Mwaisela pale Muhimbili?!
Kuna ubaya gani tukiwa na Gati namba 1 la Mwabukusi pale Bandarini?

Wazalendo wenzangu naombeni maoni yetu kwenye hili.

Wana CCM wenzangu kama kama akina Jerry Silaa na vilaza wengine please desist from giving your opinion on this!
Wazo jema kabisa.
 
Wewe ni mmoja wa vilaza wa CCM yetu! Hata desist hujui maana yake!
Ndo nyie mnatafsiriwa mkataba wa Bandari na Wassira na Sofia Mjema ( Mwenezi Taifa).
Bandari haijauzwa kwa kuwa haijawekwa kwenye Kiroba ( By Sofia Mjema - Mwenezi CCM Taifa).
wewe umetoa maoni yako na mimi nikatoa maoni yangu, kosa langu ni lipi hapo!
kilaza ni mimi au wewe?
wewe umependekeza gati liitwe Fumadilu Kalimanzila na mimi nikaona isiwe hivyo, liitwe Kitombise

unashindwa kujenga hoja na kuitetea, nmekudharau
 
Huyu mwamba Boniface Mwabukusi ,Wakili Msomi ameonyesha uzalendo mkubwa sana kwa Nchi yake!

Wachuuzi wa rasilimali zetu amewakaba koo kweli kweli!

Whatever the outcome ya High Court Judgement on 7/8 but the fact is clear that, Learned Counsel Boniface Mwabukusi is the hero of our times!

Mbona tuna Wodi ya Mwaisela pale Muhimbili?!
Kuna ubaya gani tukiwa na Gati namba 1 la Mwabukusi pale Bandarini?

Wazalendo wenzangu naombeni maoni yetu kwenye hili.

Wana CCM wenzangu kama kama akina Jerry Silaa na vilaza wengine please desist from giving your opinion on this!
Yes mwabukusi geti
 
Back
Top Bottom