Mnashangaza kama news ina msifu padre slaa.....basi gazeti hilo poa...kama ..akipondwa ...basi......mnalalama........mambooo badooooooo....jk hakuna anamweza kwa sasa hapa tz......hata mfanye nini....
- ni mtu wa watu
- mstaarabu
- amelelewa
- hapayuki hovyo
- hana mihemko kama slaa
- anakubalika dunia nzima
- anakubalika tanzania nzima
- anajali raia wake
- amefanya raia wanajua haki zao sasa kuliko wakati wowote ule
- amefanya police force imekua na nidhamu
- ni mwerevu
- ni msikivu
- anapenda michezo
- anapenda maendelea ya raia wake sio mchoyo
- ameonesha mfano wa kubuni mambo mazito kama kilimo kwanza
- malaria haikubaliki
- tanzania inawezekana bila ya ukimwi
- dodoma university ni kielelezo cha ubunifu na mipango thabiti
- na ameahidi kujenga butiama university
- ameweza kutuliza mambo zanzibar sasa hatusikii vifaru kupelekwa huko..hata nyerere yalimshinda ya huko
- sasa ni nadra kusikia virungu na mabomu ya ffu
- amewapa hali nzuri machinga kujitegemea na kuwapatia sehemu nzuri za biashara
- ameweza kuwafikisha baadhi ya maafisa na mawaziri mahakamani kwa tuhuma za ubadhirifu..haijawahi kutokea
- amesaidia kuweka chati ya tanzania juu kisiasa, kimichezo,na kiuchumi,
- ameweza kuleta mkutano wa world economic forum hapa bongo kwa mara ya kwanza...mkutano huu ulitangazwa dunia nzima ..na faida yake ipo wazi....investments nyingi zimepatikana
- ana aminiwa na nchi jirani....ndugu zetu wakenya walimtaka apatanishe....na akafanikiwa....
- hapa shule zimeengezeka na wanafunzi wameengezeka
- ni msema kweli.....alipowambia wafanya kazi wasitumiwe na wanasiasa bali serikali inaangalia kupandisha mishahara yao kwa kuangalia uwezo wa serikali walimwelewa..kwa ufupi anakubalika.......