Magazeti na vyombo vingi vya habari vimepotezea habari ya Lissu kurejea nchini

Magazeti na vyombo vingi vya habari vimepotezea habari ya Lissu kurejea nchini

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
 
Duh! Kwani Lissu si mwanasiasa tu wa upinzani katika nchi hii au kuna kubwa lipi kitaifa hapo?
 
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
Kwani Lisu ni nani? Anarudi kutoka wap?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapenda kupeana umuhimu usiokuwa na lazima, kuna vitu haulazimishi vinatokea vyenyewe tu.
 
Kwani Lisu ni nani? Anarudi kutoka wap?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba huyu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
20230125_103533.jpg
 
Hata wakati wa kampeni za 2020 walifanya hivyo hivyo lakini kipigo alichokipata jiwe hakuna aliyesahau
 
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
Hivi hapa tuna vyombo vya habari kweli kabisaa??!!
Kama ni ndio vya Kenya utaviitaje? Ni chombo gani hapa kingeweza kumpa airtime mtu kama Raila asimame kusema haitambui serikali iliyoko madarakani?
Vyombo vya habari vipi vyenye uthubutu wa kupamba habari za Lisu hapa nchini?? Labda kama vimejichoka.
 
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
Zile element za utawala wa awamu ya 5 zitachukua muda mrefu kuisha.
 
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
Labda waandishi wa habari wataripoti mkutano wake atakaoufanya..
Pascal Mayalla JokaKuu
 
Nasoma vichwa vya habari nakuangalia TV pamoja na kusikiliza radios; habari za Lissu wamezipotezea.

You know what Gona happen wanampa popularity kwa msingi ule ule kwamba ametengwa na muhimili wa nne. Uchaguzi 2020 vyombo vyote vilisusa lakini wananchi awakususa. Mpaka pale tutakapokubali kujenga Taifa lenye usawa Ndipo unafiki utakwisha na tutasonga mbele Kwa pamoja.

Wananchi ni wamoja na wanajadili Kwa umoja; viongozi siyo wamoja it seems maelekezo NI mengi Sana kwenye vyumba vya habari.

Hatuwezi kuzuia mijadala na mawazo kinzani kwa kusensa vyombo vya habari ; njia za mawasiliano zimekuwa nyingi Sana now days.

Vyombo vya habari mtazidi kudidimia kiuchumi Kwa Sababu hata matangazo ayawezi kupelekwa pasipo na wasikilizaji. You are loosing a lot, ombeni mpewe Uhuru wenu la sivyo sidhani kama tutakuwa na watangazaji au Wana habari wanaoweza kuvuka mipaka. Mtabaki Tanzania milele.

Angalieni vyombo vya habari hapo jirani Kenya , vinaripoti kila kitu na hakuna siku watawala wamewahi kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi. Raila anazunguka huku na Ruto anapita huku Bila kuzuia miradi ya maendeleo. Sisi kwetu tunaaminishwa kukaa kimya ndiyo kuleta maendeleo; legacy ya JPM inapata mtikisiko Kwa Sababu Tu aliamini Uhuru ukizidi hakutakuwa na maendeleo akaamini waliomzunguka wanaenjoy kumbe hata wao kawaweka vifungoni.

Same applies to this regime; wapo watu hawana Uhuru ila wanataka kuonyesha Wana Uhuru. Wapo watendaji wazuri wanataka kumsaidia Mhe Raisi Lakini wanakosa nguvu Kwa Sababu Tu hawana uhakika watafanywa nini baada ya kuonyesha talent zao.

RC and DCs are kimya not because they con not delivery; it's because they are not certain about what will happen to them as results of wonderfull performance.

Kila kiongozi anasubiri kustaafu au regime ipite Taifa lipatiwe Uhuru, viongozi waakikishiwe kwamba hakuna adhabu Kwa kufanya KAZI kumzidi bosi wako. Wote tunajenga nyumba moja; tufungue washindano ya utendaji.

Tuangalie Katiba mpya inayotoa Uhuru huu.
Wametoa mkeka wa ma DC wakidhani tutasahau mapokezi ya Lissu!!!
 
Back
Top Bottom