Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Apr 22, 2012 #41 gurta said: aaagh, ma'make yaani haujainyaka tu? Click to expand... aanajua ya ba'bake
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Apr 22, 2012 #42 Baba V said: kwani kuna tatzo hapo? Click to expand... nitusi tena kubwa sana..
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 8,397 Reaction score 7,974 Apr 23, 2012 #44 Haya magazeti ya akina Shafii Dauda ni matatizo matupu, kila kitu maigizo. Sasa hapo mhariri amejifanya katutega kwa kuficha neno KU la mwanzo na kuacha MA'MAKE. Kwa kuwa vyombo vya habari havina regulator acha tu watukane.
Haya magazeti ya akina Shafii Dauda ni matatizo matupu, kila kitu maigizo. Sasa hapo mhariri amejifanya katutega kwa kuficha neno KU la mwanzo na kuacha MA'MAKE. Kwa kuwa vyombo vya habari havina regulator acha tu watukane.
Janjaweed JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 13,153 Reaction score 10,670 Apr 23, 2012 #45 rev.mzito k. said: mtawatambua kwa maneno yao Click to expand... na kauli za sumu wazitoazo kuhusu wenzao za kupanda mbegu ya chuki ....na huwa wepesi kuhukumu pasi na subira
rev.mzito k. said: mtawatambua kwa maneno yao Click to expand... na kauli za sumu wazitoazo kuhusu wenzao za kupanda mbegu ya chuki ....na huwa wepesi kuhukumu pasi na subira