Magazeti nayo yanaanza kutukana kama Lusinde?

Magazeti nayo yanaanza kutukana kama Lusinde?

548443_385286881515501_100001025760481_1205405_1295491060_n.jpg
 
Haya magazeti ya akina Shafii Dauda ni matatizo matupu, kila kitu maigizo. Sasa hapo mhariri amejifanya katutega kwa kuficha neno KU la mwanzo na kuacha MA'MAKE. Kwa kuwa vyombo vya habari havina regulator acha tu watukane.
 
Back
Top Bottom