Jana gazeti la mtanzania lilifanya baadhi ya watu kupoteza pesa zao kuperuz kwenye mitandao mbalimbal kwa kile kilichodaiwa kuandika SERIKALI YAMWAGA AJIRA KWA WALIMU basi wadau wengi waliangaika bila mafanikio.je kwanini gazeti hilo lilitoa taarifa pindi majina ya walimu hao bado kutolewa?ni changamoto kwa vyombo vyetu vya habari .