Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kufa kiume ni mtindo wa Simba Sports Chilabu..Kwa hali ilivyo huko jamaa wamewapania sana Yanga, kiukweli kama yanga watafanya masihara watakufa zaidi ya bao 5, jamaa wamepania hasa, mwarabu ameshanusa nyuma ameona kutamu, hana jinsi kiukweli, lazima amwage vitu vya mtu jmoc.
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume
Mkuu relax Nyie watani.Mtoto wa kiume unawaza waza nyuma tu na waarabu
Chunga kijana usije banduliwa,
Shenzi
Mvua yawaliza tena Yanga. [emoji28][emoji28][emoji28]Kwa hali ilivyo huko jamaa wamewapania sana Yanga, kiukweli kama yanga watafanya masihara watakufa zaidi ya bao 5, jamaa wamepania hasa, mwarabu ameshanusa nyuma ameona kutamu, hana jinsi kiukweli, lazima amwage vitu vya mtu jmoc.
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume
yanga huwa hatufi kiume,tukifungwa tumefungwa fullstopKwa hali ilivyo huko jamaa wamewapania sana Yanga, kiukweli kama yanga watafanya masihara watakufa zaidi ya bao 5, jamaa wamepania hasa, mwarabu ameshanusa nyuma ameona kutamu, hana jinsi kiukweli, lazima amwage vitu vya mtu jmoc.
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume
Leo mnamanuliwa kibabeyanga huwa hatufi kiume,tukifungwa tumefungwa fullstop
UK Arsepimbi, Bongo Mbumbumbu, yani unapigwa nnje ndani kimawazo, kweli huu mwaka umepatikana...[emoji1787]Kombe la walíofeli halina kufa kiume,huko ni kufa kikike...unacheza na vibonde tupu
Hii kauli yenu inahesabu siku, Yanga tayari imeweza shirikisho na Sasa hesabu zetu utopolo ni klabu bingwa Africa. Anzeni kutafuta jingine la kuiponda utopolo.Kombe la walíofeli halina kufa kiume,huko ni kufa kikike...unacheza na vibonde tupu
kufa kiume ni kwa wale wa upende uleKwa hali ilivyo huko jamaa wamewapania sana Yanga, kiukweli kama yanga watafanya masihara watakufa zaidi ya bao 5, jamaa wamepania hasa, mwarabu ameshanusa nyuma ameona kutamu, hana jinsi kiukweli, lazima amwage vitu vya mtu jmoc.
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume