Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kwa hali ilivyo huko jamaa wamewapania sana Yanga, kiukweli kama yanga watafanya masihara watakufa zaidi ya bao 5, jamaa wamepania hasa, mwarabu ameshanusa nyuma ameona kutamu, hana jinsi kiukweli, lazima amwage vitu vya mtu jmoc.
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume
Kilichobakia sasa hv ni magazeti kuandika tu Yanga yafa kiume.Hongereni sana kwa kufa kiume