Magazeti ya Kenya yanahaha: Tanzania and Uganda under UN probe over N. Korea trade ties

Magazeti ya Kenya yanahaha: Tanzania and Uganda under UN probe over N. Korea trade ties

Mbona unashindwa kujibu hoja, kwani ni Marekani pekee ambayo imekuwa ikikinzana na UN, pale kwenye maslahi ya kidunia kama hili la North Korea, ndiyo ni lazima kuwe na msimamo wa kidunia, ila kama ni maslahi ya nchi moja moja au kundi la nchi kama vile NATO, au EU au hata EAC, sio lazima UN ishirikishwe, Marekani walihisi kwamba vitisho vya IRAQ vilihusu dunia nzima, ndiyo akaamua kuishirikisha UN, lakini Urusi na China walipopinga, akalitoa kwenye UN akaliingiza NATO, ambao walikubaliana kwa kuwa waliona ugaidi ni tishio zaidi kwa USA na ulaya kuliko kwa china na Urusi, kwani Urusi alipoamua kuemega jimbo la Cremia aliomba ruhusa ya UN?, au kwa sasa Urusi na Marekani huko Syria wameomba UN, Saudia Arabia na Iran huko Yemen wameomba UN?, China kuendeleza biashara na North Korea kinyume na maazimia ya UN unalizungumziaje?

Sio kila kitu uone Marekani ina mkono wake, mengine wala Marekani haihusiki ni sisi waafrika kuiona Marekani kama vile ni Mungu, kifupi waafrika tunaogopa kivuli cha Marekani kuliko ilivyo kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hakuna fair ground kati ya NK na US linapokuja swala la kufanya majaribio ya silaha?
 
Magazeti ya Kenya yanahaha vipi wakati ni kweli kabisa UN inaichunguza Tanzania juu ya madai ya kununua silaha za vita kutoka North Korea??
kwani ni ajabu kununua silaha mbona tulikua tunanunua hapo mwanzo??kinachochunguzwa sio kununua silaha kinachochunguzwa na ukiukwaji wa Sheria katika ununuzi huo,na wala si mara ya kwanza Tanzania kununua silaha kwa hao watu.
 
Mbona hakuna fair ground kati ya NK na US linapokuja swala la kufanya majaribio ya silaha?
Nikumbushe ni lini Marekani au Urusi, au China, au nchi nyingine yoyote ile kati ya nchi zinazomiliki silaha za nyuklia ilifanya jaribio lolote la nyuklia tangu umoja wa mataifa ulipopiga marufuku utengenezaji na kufanya majaribio ya kinyuklia?

Kwa taarifa tu, baada ya vita kuu ya pili kumalizika na UNO kuundwa, kulipitishwa azimio la kutotengeneza wala kufanya majaribio ya silaha hizo kwa nchi yoyote ile, ndiyo maana nchi yoyote inayokiuka azimio hilo inawekwa chini ya vikwazo. Ila azimio hilo halikusema juu ya zile nchi ambazo tayari zilikuwa na slaa za nyuklia wazifanyeje, ndiyo maana hadi leo idadi ya silaa za nyuklia zilizopo kila nchi zinajulikana idadi yake, Urusi inaongoza na inafuatia Marekani, hairuhusiwi kuongeza hata silaa moja zaidi ya zile zilizokuwapo, azimio litakalofuata ni kuziteketeza silaha hizi zisiwepo duniani, bado teknolojia isiyokuwa na madhara ya kuziteketeza haijapatikana ndiyo sababu wameambiwa wayahifadhi kwanza chini ya uangalizi wa UN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikumbushe ni lini Marekani au Urusi, au China, au nchi nyingine yoyote ile kati ya nchi zinazomiliki silaha za nyuklia ilifanya jaribio lolote la nyuklia tangu umoja wa mataifa ulipopiga marufuku utengenezaji na kufanya majaribio ya kinyuklia?

Kwa taarifa tu, baada ya vita kuu ya pili kumalizika na UNO kuundwa, kulipitishwa azimio la kutotengeneza wala kufanya majaribio ya silaha hizo kwa nchi yoyote ile, ndiyo maana nchi yoyote inayokiuka azimio hilo inawekwa chini ya vikwazo. Ila azimio hilo halikusema juu ya zile nchi ambazo tayari zilikuwa na slaa za nyuklia wazifanyeje, ndiyo maana hadi leo idadi ya silaa za nyuklia zilizopo kila nchi zinajulikana idadi yake, Urusi inaongoza na inafuatia Marekani, hairuhusiwi kuongeza hata silaa moja zaidi ya zile zilizokuwapo, azimio litakalofuata ni kuziteketeza silaha hizi zisiwepo duniani, bado teknolojia isiyokuwa na madhara ya kuziteketeza haijapatikana ndiyo sababu wameambiwa wayahifadhi kwanza chini ya uangalizi wa UN

Sent using Jamii Forums mobile app
Unayafahamu. FOB na MOB?
 
Sasa wewe mleta mada mbona huoni bangi yako imekufanya ulete mada ya kitoto ,kiushenzi na mambo yasiohusiana?
 
Magazeti ya Kenya yanahaha vipi wakati ni kweli kabisa UN inaichunguza Tanzania juu ya madai ya kununua silaha za vita kutoka North Korea??
Inaichunguza ili iweje? [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Tanzania and Uganda are among several African countries under UN investigation for violations of sanctions against North Korea, a UN panel of experts has said.

Their September 9 report was issued two days prior to the UN Security Council's unanimous adoption of a tough new round of sanctions aimed at coercing North Korea into negotiations on its nuclear arsenal.

Tanzania and Uganda in UN's cross hairs

Naona hii vita ya kiuchumi kati ya nchi zetu imepamba moto. Naona hawa wakenya wameamua kujidunga sasa na kuamua kuanza kupambana na nchi zetu (Tanzania na Uganda).
Hii inatokana na kukosa deal la momba la mafuta. Wameamua kuanza propaganda za kitoto.

Nadhani wameamua kuandika makala hiyo kutokana na thread hii ya JF
Kenya's military might

Nimegundua sasa ndugu zetu wa kenya wanachukua taarifa humu kwenye jukwaa. Nadhani tunawaumiza sana tunapojibu mapigo kwa nguvu zote kwenye mitandao.

Ndugu zangu wa TZ tupo kwenye mapambano. Sisi tuta deal nao kwenye mitandao. Nikiwepo mimi Major.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakitugaia tunapokea tu. Tena inabidi watupe kwa lazima kwa kuwa wao wameendelea sana kwa sababu ya sisi hususan kipindi cha ukoloni
Tuache hii tabia ya kutafuta visingizio vya kijinga jinga.

Kama wao walituibia rasilimali zetu, sisi tulikubali vipi watuibie kama sio uzwazwa

Upendo ni tiba.
 
Kuna watanzania wengine hapa JF wako very insecure. Wanaiona Tz kupitia macho ya Kenya....

Ungefanya google kidogo kabla kuja hapa na kunyosha kidole ungeona mwenyewe kutoka magazeti ya nchi za nje ma pia ripoti yenyewe ya UN kwamba ni nchi nyingi ziko under investigation na hapa EA Tanzania ni mmoja wao, tena si mara ya kwanza, 2014 ma agent 24 wa North Korea wanasemekana walikuja tz kufanya repair iwa ndege zenu za J-7
Hao NK ni ndugu zetu mbele yao nyuma yetu[emoji120] [emoji120]
 
Hivi wewe huwa unaamini kwenye hizi sijui UN, WB, ama IMF? Hizo ni taasisi za USA na Ulaya.

Zipo kwa ajili ya maslai yao na zinakuwa toothless pindi zinapokinzana na maslai yao.

Ndio maana UN walikataa uvamizi wa Iraq lakini marekani akavamia tu.
Hivyo ni vyombo vya kifara sana[emoji51] [emoji51]
 
JF J-7 ni ya kichina na wakufunzi ni wachina. Vipi Leo waje wakorea kazkazni kutengeneza J-7... Au kwakuwa macho yao yafanana..
 
Naomba kueleweshwa kwa mnaojua zaidi, hivi Tz ni nchi huru na hatufungamani na upande wowote? Sasa kununua silaha sehemu yoyote tutakayotaka si ni sawa? Sasa kwa nini tuchunguzwe na UN?!! Au aina ya silaha tulizonunua hazitakiwi na UN?!!! Msaada wajuvi. Asante.
 
Naomba kueleweshwa kwa mnaojua zaidi, hivi Tz ni nchi huru na hatufungamani na upande wowote? Sasa kununua silaha sehemu yoyote tutakayotaka si ni sawa? Sasa kwa nini tuchunguzwe na UN?!! Au aina ya silaha tulizonunua hazitakiwi na UN?!!! Msaada wajuvi. Asante.
Mkuu kama nchi imewekewa vikwazo na UN basi dunia nzima inapaswa kutii vikwazo hivyo, kumbuka nchi zote zinawakilishwa pale UN, kwa hiyo ni kama maamuzi ya dunia nzima, japo kuna wakubwa yaani nchi zenye kura ya veto na sisi wadogo, North Korea iliwekewa vikwazo vya silaa, yaani isinunue, kuuza wala kushirikiana na nchi yoyote katika mambo yanayohusu silaa, sasa hivi imewekewa vikwazo vya uchumi.
 
Back
Top Bottom