Magazeti ya kesho tarehe 08.01.2022

maramojatu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,749
Reaction score
2,319
Kutokana na matukio ya leo tar 07 Jan 2022 unatabiri vichwa vya habari kesho vitakuwaje?
 
Kutokana na matukio ya leo tar 07 Jan 2022 unatabiri vichwa vya habari kesho vitakuwaje?
Tanzania Leo na sahivi ni tarehe 8 kesho ndo itakuwa 9.. hiyo nchi uliyopo wewe magazeti yatakuja na vichwa hivi "pombe sio chai"
 
Kutokana na matukio ya leo tar 07 Jan 2022 unatabiri vichwa vya habari kesho vitakuwaje?
1. Wanyoge out, Wahuni in

2. Watoto wa vigogo wazidi kupaa...ni Nape na Ridhiwani sasa

3. Mama aupiga mwingi mpaka autoa nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…