Magazeti ya leo yasusia kuripoti press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi

Magazeti ya leo yasusia kuripoti press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dk. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.


WAZIRI NAPE ATEUA TUME YA KUTATHMINI UCHUMI WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI​


b509f7d4ddee17e0dfa6d2941d1827a6.jpeg

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nauye ametangaza tume ya watu tisa wakataofanya kazi ya Kutathimini hali ya uchumi katika vyombo vya habari nchini.

Waziri Nape ametangaza kamati hiyo leo tarehe 24 Januari 2023 wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma ambapo amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimuagiza kushughulikia suala la uchumi kwenye vyombo vya habari.

"Tumekua na majadiliano na tumefikia maamuzi ya kuunda timu ambayo itakwenda kufanya kazi ya kutathmini hali ya uchumi wa vyombo vya habari na wanahabari, na kuleta mapendekezo" Amesema Waziri Nape
Mhe Nape amesema kamati hiyo itaongozwa na Mwenyekiti wake atakuwa ni Mtendaji Mkuu Azam Media Group Ndg Tido Mhando huku katibu wa kamati hiyo akiwa ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg Gerson Msigwa.

Huku wajumbe wakiwa ni Bakari Machumu ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji MCL, Joyce Mhavile Mkurugenzi Mtendaji ITV na Redio One, Dkt Rose Reuben Mkurugenzi Mkuu TAMWA, Keneth Simbaya Mkurugenzi Mtendaji UTPC, Sebastian Maganga Mkuu wa Maudhui Clouds Media, Jacqueline Woiso Mkurugenzi Mtendaji Multichoice Tanzania na Richard Mwaikenda Mwandishi wa kujitegemea.
 


WAZIRI NAPE ATEUA TUME YA KUTATHMINI UCHUMI WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI​


b509f7d4ddee17e0dfa6d2941d1827a6.jpeg

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nauye ametangaza tume ya watu tisa wakataofanya kazi ya Kutathimini hali ya uchumi katika vyombo vya habari nchini.

Waziri Nape ametangaza kamati hiyo leo tarehe 24 Januari 2023 wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma ambapo amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimuagiza kushughulikia suala la uchumi kwenye vyombo vya habari.

"Tumekua na majadiliano na tumefikia maamuzi ya kuunda timu ambayo itakwenda kufanya kazi ya kutathmini hali ya uchumi wa vyombo vya habari na wanahabari, na kuleta mapendekezo" Amesema Waziri Nape
Mhe Nape amesema kamati hiyo itaongozwa na Mwenyekiti wake atakuwa ni Mtendaji Mkuu Azam Media Group Ndg Tido Mhando huku katibu wa kamati hiyo akiwa ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg Gerson Msigwa.

Huku wajumbe wakiwa ni Bakari Machumu ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji MCL, Joyce Mhavile Mkurugenzi Mtendaji ITV na Redio One, Dkt Rose Reuben Mkurugenzi Mkuu TAMWA, Keneth Simbaya Mkurugenzi Mtendaji UTPC, Sebastian Maganga Mkuu wa Maudhui Clouds Media, Jacqueline Woiso Mkurugenzi Mtendaji Multichoice Tanzania na Richard Mwaikenda Mwandishi wa kujitegemea.
Umasikini ndio Silaha kubwa ya ccm

FB_IMG_1575390792397.jpg
FB_IMG_1575390806699.jpg
 

WAZIRI NAPE ATEUA TUME YA KUTATHMINI UCHUMI WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI​


b509f7d4ddee17e0dfa6d2941d1827a6.jpeg

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nauye ametangaza tume ya watu tisa wakataofanya kazi ya Kutathimini hali ya uchumi katika vyombo vya habari nchini.

Waziri Nape ametangaza kamati hiyo leo tarehe 24 Januari 2023 wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma ambapo amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alimuagiza kushughulikia suala la uchumi kwenye vyombo vya habari.

"Tumekua na majadiliano na tumefikia maamuzi ya kuunda timu ambayo itakwenda kufanya kazi ya kutathmini hali ya uchumi wa vyombo vya habari na wanahabari, na kuleta mapendekezo" Amesema Waziri Nape
Mhe Nape amesema kamati hiyo itaongozwa na Mwenyekiti wake atakuwa ni Mtendaji Mkuu Azam Media Group Ndg Tido Mhando huku katibu wa kamati hiyo akiwa ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg Gerson Msigwa.

Huku wajumbe wakiwa ni Bakari Machumu ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji MCL, Joyce Mhavile Mkurugenzi Mtendaji ITV na Redio One, Dkt Rose Reuben Mkurugenzi Mkuu TAMWA, Keneth Simbaya Mkurugenzi Mtendaji UTPC, Sebastian Maganga Mkuu wa Maudhui Clouds Media, Jacqueline Woiso Mkurugenzi Mtendaji Multichoice Tanzania na Richard Mwaikenda Mwandishi wa kujitegemea.
Hii kitu ndio imekwenda kuua kabisa uhuru wa vyombo vya habari, sijui kama kuna nchi yoyote duniani inavipa ruzuku vyombo vya habari maana vitashindwa kutekeleza majukumu yake matokeo yake ndiyo hayo PRESS ya kina Dk. Slaa na Mwabukusi imeshindwa kuandikwa magazetini.
 
nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dk. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Watakuja kuchapisha ni suala la muda tu.
 
nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dk. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Huu ulitakiwa kuwa mhimili unaojitegemea na kuuhoji serikali. Sawa na bunge, mahakama. Ila tupo bongo.
 
Hivi kuna mtu ananunua hayo makaratasi katika ulimwengu huu wa TEHAMA?...
Ndio maana wana njaa kali sana na bado..
Pascal mwenyewe anajua hilo...
 
Back
Top Bottom