Nani anasomaga tena magazeti miaka hii mkuu. Mi mara ya mwisho ni miaka 15Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Hivi kuna mtu ananunua hayo makaratasi katika ulimwengu huu wa TEHAMA?...
Ndio maana wana njaa kali sana na bado..
Pascal mwenyewe anajua hilo...
Dunia ya leo nani ana hangaika na gazetiNimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Sio Zile kubwa km Millard AyoSocial media zipo zitareport.
Poleni,watu walishaachana nayo kitambo sanadawa ni kuanza kampeni ya kususia magazeti hii ndio dawa yao
Unafikiri wananchi hawajasikia kilichoongelewa kwenye huo mkutano?Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Vipi ya yule wa ukonga press yake wameqndika? Magazetini?Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Watanzania wengi hawasomi magazeti magazeti mengi yanapelejwa kweny taasis za serekalidawa ni kuanza kampeni ya kususia magazeti hii ndio dawa yao
Hawana mda wa kuandika ujinga sana sana Wametoa Onyo Kwa Babu mihogo Kwa kuwakashfu..Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Madalali wanaendelea kupenyeza mambo yao.Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma:
Nimeacha kununua kelele nahitaji habari. Mostly they are noisepapers not newspapers !!Nimeangalia magazeti ya leo kurasa za mbele sijaiona taarifa ya press ya Dkt. Slaa na Wakili Mwabukusi aliyofanya jana anayefahamu kilichojicha nyuma atujulishe watanzania tufahamu.
Pia soma: