Magazeti yatia aibu kupotosha hukumu dhidi Mwanahalisi

Magazeti yatia aibu kupotosha hukumu dhidi Mwanahalisi

You wish....


No, i demand and ready to fight hard for it. In BIBBLE is written :- Ombeni, mtapewa. Piga hodi utafunguliwa. Ukipanda FISADI, utavuna VIFISADI.

The best thing are for free... USE YOUR VOTE.

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=7pgh3tlia10]YouTube - Janet Jackson - The best things in life are free[/ame]


You wish -------- why not? Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua.
 
Naona ni kweli kilichoandikwa maana hata RAIA MWEMA nanukuu"kwa mujibu wa nakala ya hukumu ambayo raia mwema imeipata. ROSTAM ANATAKIWA SASA KULIPWA FEDHA HIZO KAMA FIDIA YA KUKASHIFIWA KATIKA HABARI ZILIZOANDIKWA NA MWANAHALISI"mwisho wa kunukuu. Sasa waungwana kama hivyo ndivyo ilivyo si itakuwa kweli mahakama imeona luwa alionewa kuhusishwa na RICHMOND mie naona kama vyombo vya habari vya umma viko upande wake itashindikana nini kwa mahakama ni lini mahakama zetu zilikuwa huru?
 
Tanzania ina matatizo, watu hawaelewi kuwa kichwa cha habari tu cha kwenye magazeti kiaweza kupotosha kundi kubwa sana la wananchi?

Inabidi tufike mahali tuwe serious kidogo, asilimia kubwa ya magazeti ya leo yameandika kuwa mahakama imemsafisha Rostam kwenye ishu ya Richmond.....hivi kweli tutafika huko tuendako???

Always watanzania huwa tunaibuka na na headings na kufikiri tumemaliza story.
 
Ni vizuri headings ziwe na mvuto lakini si kiasi cha kupotosha jamii. Angalia pia staili ya wasomaji wako. Je wanatabia ya kusoma habari kwa kina au ni asilimia chahce tu wanaweza kufanya hivyo?
 
"Naona ni kweli kilichoandikwa maana hata RAIA MWEMA nanukuu"kwa mujibu wa nakala ya hukumu ambayo raia mwema imeipata. ROSTAM ANATAKIWA SASA KULIPWA FEDHA HIZO KAMA FIDIA YA KUKASHIFIWA KATIKA HABARI ZILIZOANDIKWA NA MWANAHALISI"mwisho wa kunukuu. Sasa waungwana kama hivyo ndivyo ilivyo si itakuwa kweli mahakama imeona luwa alionewa kuhusishwa na RICHMOND mie naona kama vyombo vya habari vya umma viko upande wake itashindikana nini kwa mahakama ni lini mahakama zetu zilikuwa huru?"

Hoops:

Tatizo lenu ni kwamba CCM imewdumaza sana fikra zenu -- zimegangamala. Jamaini mwenye hiyo "Order" ya jaji Makaramba aiweke humu ili watu wenye fikra finyu waisome. Mimi ninayo nakala lakini I'm sorry to say that I dont know how to post it.

Hakuna mahala ambapo "Order" hiyo inasema Rostam kasafishwa -- yaani Richmond siyo yake. Hawezi Jaji kusema hivyo kwa sababu shauri halikusikilizwa -- upande mmoja haukuwepo kujibu.

Kweli hela za mafisadi zinapunguza uwezo wa kufikiri.
 
Kwenye gazeti lako kichwa cha habari umeandikaje?..

Unani-rank so high na kunipa ujiko nisio stahili sina uwezo (kipesa na kiakili ) wa kumiliki hata usambazaji wa flyers mitaani seuze gazeti!
 
Unani-rank so high na kunipa ujiko nisio stahili sina uwezo (kipesa na kiakili ) wa kumiliki hata usambazaji wa flyers mitaani seuze gazeti!

Sikufika huko kaka, samahani kama nimekukwaza.
 
"Naona ni kweli kilichoandikwa maana hata RAIA MWEMA nanukuu"kwa mujibu wa nakala ya hukumu ambayo raia mwema imeipata. ROSTAM ANATAKIWA SASA KULIPWA FEDHA HIZO KAMA FIDIA YA KUKASHIFIWA KATIKA HABARI ZILIZOANDIKWA NA MWANAHALISI"mwisho wa kunukuu. Sasa waungwana kama hivyo ndivyo ilivyo si itakuwa kweli mahakama imeona luwa alionewa kuhusishwa na RICHMOND mie naona kama vyombo vya habari vya umma viko upande wake itashindikana nini kwa mahakama ni lini mahakama zetu zilikuwa huru?"

Hoops:

Tatizo lenu ni kwamba CCM imewdumaza sana fikra zenu -- zimegangamala. Jamaini mwenye hiyo "Order" ya jaji Makaramba aiweke humu ili watu wenye fikra finyu waisome. Mimi ninayo nakala lakini I'm sorry to say that I dont know how to post it.

Hakuna mahala ambapo "Order" hiyo inasema Rostam kasafishwa -- yaani Richmond siyo yake. Hawezi Jaji kusema hivyo kwa sababu shauri halikusikilizwa -- upande mmoja haukuwepo kujibu.

Kweli hela za mafisadi zinapunguza uwezo wa kufikiri.

Mkuu unayo hardcopy ama soft copy?, kama hard copy una iscan, then waweza ituma kama attachment kwa invisible atatuwekea.

Lakini mkuu waweza kutuwekea kwa kunukuu kipengele muhimu pia kuondoa hii kadhia.
Asante mkuu
 
RA ni mfanyabiashara ambaye hana biashara iliyosajiliwa! ni humu humu jamvini wana JF walitoa kuwa jina la RA halipo BRELA kwenye list ya wenye hisa wa makampuni yanayodaiwa yake. huyu mtu ni hatari sana. hivyo inawezekana kabisa kusiwe na direct evidence ya kumiliki Richmond kutokana na ujanja wake wa kubandika fake names au za watumwa wake.

huko nyuma wakati wa vuguvugu la vyama vingi pale Jangwani kwenye mkutano wa DP kuna ofisa mmoja (simkumbuki kwa jina) alisema nanukuu 'CCM imeoza, tena imeoza ndani na nje' mwisho wa kunukuu. akafananisha ccm na dola ya Roma jinsi ilivyopanuka na kuvuka mipaka na baadaye kuanguka. I would, likewise, compare it to our government. shame on government kulinda ufisadi wa RA. soon the government will be like Rome empire
 
Mkulu RwabugirI: – ninayo hard copy tu. Lakini kwa kuwa hukumu yenyewe ina mistari 13 tu naona niitoe tu hapa kwa manufaa ya wana-JF ambao hawajui Jaji aliandika nini. Hukumu, au Order ilitolewa tarehe 30.4.09 mbele ya wakili wa RA aitwaye Fungamtama:


Court: I have listened carefully to the submissions of Mr Fungamtama, learned Counsel for the plaintiff that this court pronounce on the strength of Order 8 Rule 14 of the CPC, judgement against all defendants for failure to file WSD. The learned Counsel has also cited the case of Kilindu Vs CRDB. The provisions of Rule 14 of Order VIII of the CPC are mandatory and there is no room for exercise of discretion. The defendants' Counsel was present when this court has made orders for judgement to be delivered today but for reasons not entirely clear to this Court they have not appeared. In the circumstances and for reason that the defendants have failed to defend the suit, on strength of Rule 14(1) of Order VIII Judgement is hereby entered against all the defendants. Order accordingly.

Order: (1) Judgement entered against all defendants.


Signed: R.V. Makaramba

JUDGE

30.04.2009
^^^^^^^^^^^^^

JE KUNA MAHALA POPOTE MAKARAMBA KASEMA KUWA ROSTAM SIYO MMILIKI AU HAHUSIKI NA RICHMOND?
 
Lakini mimi naimani kwamba hata Rost-tam afanyeje ipo siku, kwani Ivory coast ilikuwaje?? Walikuwa wanaimba aman aman kama tz lakini muda ulipofika watu wamekimbia ile nchi mpaka kesho. Rostam na hwanaomlinda wasubiri ni swala la muda tu. Wasidhani tutasahau.
 
Mkulu RwabugirI: – ninayo hard copy tu. Lakini kwa kuwa hukumu yenyewe ina mistari 13 tu naona niitoe tu hapa kwa manufaa ya wana-JF ambao hawajui Jaji aliandika nini. Hukumu, au Order ilitolewa tarehe 30.4.09 mbele ya wakili wa RA aitwaye Fungamtama:


Court: I have listened carefully to the submissions of Mr Fungamtama, learned Counsel for the plaintiff that this court pronounce on the strength of Order 8 Rule 14 of the CPC, judgement against all defendants for failure to file WSD. The learned Counsel has also cited the case of Kilindu Vs CRDB. The provisions of Rule 14 of Order VIII of the CPC are mandatory and there is no room for exercise of discretion. The defendants’ Counsel was present when this court has made orders for judgement to be delivered today but for reasons not entirely clear to this Court they have not appeared. In the circumstances and for reason that the defendants have failed to defend the suit, on strength of Rule 14(1) of Order VIII Judgement is hereby entered against all the defendants. Order accordingly.

Order: (1) Judgement entered against all defendants.


Signed: R.V. Makaramba

JUDGE

30.04.2009^^^^^^^^^^^^^

JE KUNA MAHALA POPOTE MAKARAMBA KASEMA KUWA ROSTAM SIYO MMILIKI AU HAHUSIKI NA RICHMOND?

Mkuu asante, ba ndugu, hukumu hii hapa. sasa alipo safishwa Fisadi papa Rostamu Azizi kwamba hausiki na RICHMOND ni wapi??? pengine labda kingereza changu ngumbalu.. waswanglish saidieni jama!
 
Wataandika vichwa vya habari vyote na kumaliza lakini ngoma baaaaaaaaaaaaado mbichi kabisa. Watanzania wa leo si wapumbavu kama Rostam na makampuni yake. It's just a matter of time, THE BOMBO WILL GO OFF, trust me. Hata kama Mahakama ingekuwa imesikiliza na upande wa Mwanahalisi na kutoa hukumu kwa kuegemea kwa fisadi, WATANZANIA watakuja na hukumu yao. Matatizo ya watanzania sasa yametosha, ENOUGH is ENOUGH. Waangalie wasije wakaruhusu watanzania kutumia Shortcut, hapo ndipo kutakuwa na UTAJO.
 
RA ndiye "mwenye" nchi hii. Ndio maana mawaziri walishindana kumtetea. Inaonekana kuwa vyombo vya habari vya Serikali na vya CCM vyote "vinawajibika" kumtetea kwa nguvu zote. Wote wanajipendekeza tu kwa RA. Mkuchika kamsakizia Mzee Bendera kusema pumba; anamsema jasiri Mengi wanamuogopa fisadi Rostam, Wanaisema ITV wanaiacha TBC.
Viongozi serikalini wanamuogopa vibaya RA, ati ana ubavu na vibarua vyao.
Masikini Tanzania!

It pains to say this but Tanzania is now nothing more than a BANANA REPUBLIC under the "leadership" of President Rostam Aziz
 
Back
Top Bottom