Magego kwa kichanga cha miezi 3

Hayo yatakuwa meno plastic huwa yanaumiza sana watoto homa na kuendesha mi naonaga watu huwapaka viksi fizi yanapotea
Wengine kumuweka konokono(yule asiye na jumba) kwenye chumvi, akiyayuka ule uji wake ananyweshwa mtoto... hutosikia akiumwa hadi anakua.
 
Wengine kumuweka konokono(yule asiye na jumba) kwenye chumvi, akiyayuka ule uji wake ananyweshwa mtoto... hutosikia akiumwa hadi anakua.
Ni kweli hayo meno husumbua watoto wengi hata kwenda hospital wanakupa panadol. Kuna bibi anajua dawa za asili za watoto haugui hovyo sema sasa huwa tuna ignore.
 
Ni kweli hayo meno husumbua watoto wengi hata kwenda hospital wanakupa panadol. Kuna bibi anajua dawa za asili za watoto haugui hovyo sema sasa huwa tuna ignore.
Natamani kupata contact za huyo bibi nami,watoto wanasumbuka sana hospitali masindano,madawa mpaka basi mimi nielekeze mkuu
 
Wengine kumuweka konokono(yule asiye na jumba) kwenye chumvi, akiyayuka ule uji wake ananyweshwa mtoto... hutosikia akiumwa hadi anakua.
Hebu acheni vituko jamani..Daah....karne hii ni ajabu sana kusikia mambo kama haya
 
Natamani kupata contact za huyo bibi nami,watoto wanasumbuka sana hospitali masindano,madawa mpaka basi mimi nielekeze mkuu
Bibi yuko kijijini huyo tulimprlekea mtoto alikuwa anasumbua mno afya yake akamtaftia dawa mtoto karudi normal walah, namwambiaga anifundishe sema kwenda kule kwa binde.
 
Asanteni sana, nilimwona daktari wa watoto. Alisema kuwa ni jambo zuri mtoto anapotangulia kuota meno, na hii ni dalili kubwa kuwa ana madini ya chuma yakutosha. na kwamba hayatadumu yatatoweka.

Hata hivo baada ya miezi sita kupita sikuyaona tena yale meno, yalitoweka.
Na kwa sasa ana meno mazuri na imara, ameanza shule Juzi.
Asanteni wote kwa michango yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…