storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,844
Wengine kumuweka konokono(yule asiye na jumba) kwenye chumvi, akiyayuka ule uji wake ananyweshwa mtoto... hutosikia akiumwa hadi anakua.Hayo yatakuwa meno plastic huwa yanaumiza sana watoto homa na kuendesha mi naonaga watu huwapaka viksi fizi yanapotea