Magenge ya Radio FM (leo naanza na Radio Wachafu na Radio Mbinguni)

Magenge ya Radio FM (leo naanza na Radio Wachafu na Radio Mbinguni)

Benderea

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
686
Reaction score
1,303
Nasikitika kusema kuwa hizi radio zina magenge ya hao eti wanaitwa watangazaji , lakini kinachochoendelea huko ni kichefuchefu tupu.

Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?

Mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha. Haya na hao sijui kina buburu kazi kusifia tajiri yao na wapambe wao ! na lugha zisizo staha.

Nimeandika waraka huu kuwasisitiza TCRA wahakikishe maudhui yote yanayotolewa na radio zetu yawe na mantiki na kama radio haiwezi basi waache kutangaza kwa sababu utanapotangaza watu wote wanasikiliza, wasikilizaji weng hawapendi upuuzi.Unakuta hayo magenge yanazungumzia mambo yao binafsi badala ya maambo yanayohusu jamii ! Radio inatakiwa iwe neutral sio kila dakika ohh mama nani sijui, ohh mara sijui mchafu kafanyaje ohh mara sujui kukoboa kafanyaje ili mradi tu uchawa chawa tunata.waache upuuzi.tunataka kusikiliza vitu vyenye mantiki na sio upuuzi .

Na hayo magenge kila dakika yanapiga kelele utadhani uko kilabu cha kimpumu ! wakijifanya kujua kila kitu kumbe si lolote si chochote ! Hasa huyo buburu ndo kabsaa ! na huyo wanamuita eti genious eti anajua kila kitu ! Ehh wajemeni kazi kweli kweli ! TCRA futeni leseni zao kama hamuwezi kuwa control watu hawa iko siku wataleta balaa nchini.Tujifunze kwa majirani
 
Aisee nimecheka sana,kuna mmoja alimwambia mwenzake, ‘mbona unanitizama sana?kama umenitamani nitakuchek tukitoka job’yaani ukisikiliza hizi radio mara kwa mara unaweza haribikiwa!Mi nasikiliza Radio Maria Tanzania tu kama ikibidi
 
Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?
mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha[emoji818][emoji817]
 
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Inabidi uelewe FM radio ni dying technology..dunia inahamia kwenye podcasts...online TV n.k...

Sasa yote haya unayaona ni vurugu za marehemu kabla hajafa...

Radio haziwezi tena kuajiri watu qualified sababu ya mishahara...
Hao wanao ajiriwa Wengi wanaajiriwa Kwa sababu Wana followers Wengi huko Instagram wataleta wasikilizaji na matangazo.... matangazo yanazidi pungua kwenye "old media" yanaenda new media...ambayo ni internet...
Leo Milard Ayo ana tengeneza hela kuliko media house zenye majina makubwa...

Wavumilie...wako desperate Sana
Watangazaji wengine hawana mishahara kabisa...wanatumia hizo redio kufanya biashara zao za pembeni
 
Nasikitika kusema kuwa hizi radio zina magenge ya hao eti wanaitwa watangazaji , lakini kinachochoendelea huko ni kichefuchefu tupu.
Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?
mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha.
Haya na hao sijui kina buburu kazi kusifia tajiri yao na wapambe wao ! na lugha zisizo staha.
Nimeandika waraka huu kuwasisitiza TCRA wahakikishe maudhui yote yanayotolewa na radio zetu yawe na mantiki na kama radio haiwezi basi waache kutangaza kwa sababu utanapotangaza watu wote wanasikiliza, wasikilizaji weng hawapendi upuuzi.Unakuta hayo magenge yanazungumzia mambo yao binafsi badala ya maambo yanayohusu jamii ! Radio inatakiwa iwe neutral sio kila dakika ohh mama nani sijui, ohh mara sijui mchafu kafanyaje ohh mara sujui kukoboa kafanyaje ili mradi tu uchawa chawa tunata.waache upuuzi.tunataka kusikiliza vitu vyenye mantiki na sio upuuzi .Na hayo magenge kila dakika yanapiga kelele utadhani uko kilabu cha kimpumu ! wakijifanya kujua kila kitu kumbe si lolote si chochote ! Hasa huyo buburu ndo kabsaa ! na huyo wanamuita eti genious eti anajua kila kitu ! Ehh wajemeni kazi kweli kweli ! TCRA futeni leseni zao kama hamuwezi kuwa control watu hawa iko siku wataleta balaa nchini.Tujifunze kwa majirani
Bora umesema mkuu,hizi radio zimejaa watu wenye uelewa mdogo sana,Elimu ndogo,uelewa mdogo wa mambo ya Dunia,
Kuna siku radio wasafi waliongelea Swala la zuchu ku mblock rafiki yake wa kike kwenye Instagram,waliongelea utafikiri ni Swala la maana sana,mpaka ikabidi zuchu apigiwe cm,kuulizwa kurikoni!!
Sasa Hawa wwchambuzi wa mipiracndio wanakela balaa,wangekuwa wanazungumzia mpira kama sekta inayoweza kuzalisha pesa kibao,ingekuwa poa,wanazungumzia porojo tupu,zisizo na maana,yaani wabongo kwa kupenda vitu vyepesi,watu wnapoteza saa tstu kuzungumzia jinsi mchezaji alivyofunga gori!!
Kuna siku mtangazaji mmoja wa kike alikuwa anasimulia jinsi mdogo wake wa kike alivyofsulu masomo,jamaa moja likamuuliza huyo mdogo wako ana umri gani?mdada akajibu,li jamaa bila aibu Wala staha likasema"aaah huyo mkubwa anafaa kwa matumizi ya binadamu""imagine such a vulgar language!!
 
Sikiliza Clouds baadhi ya vipindi utajifunza mengi sana..achana na vipindi ambavyo havina maana
Aisee nimecheka sana,kuna mmoja alimwambia mwenzake, ‘mbona unanitizama sana?kama umenitamani nitakuchek tukitoka job’yaani ukisikiliza hizi radio mara kwa mara unaweza haribikiwa!Mi nasikiliza Radio Maria Tanzania tu kama ikibidi
 
Hizo kelele nilikuwa navumiliaga ila kuna wimbo ulipigwa wiki ilo pita ilibidi nishuke mawinguni siwezi kaa huko
Nikiitafuta redio saivi ni habari za ulimwengu tuu uko Dw na bbc inatosha
 
Content less radio hamna kitu kabisaaa, yani mtu akipata vijihela kidogo tayari kaanzisha karedio basi balaa tupu hakuna proffessional wala nini anachukua cheap labor wasanii sijui waigizaji anajazaaaaaa kwenye redio, hii ni kansa kubwa ambayo isipoangaliwa kwa jicho lingine itaitafuna sana tasnia ya habari na utangazaji, haiwezekani watu hawana maudhui wanabwabwaaaja tu kisa wana uwezo wa kurusha matangazo ya hovyo tu
 
Write your reply...Clouds itabaki juu milele daima.kutana na kina Ciser na Kp Asubuhi siku inakuwa muruaaaa hata na hivyo kwan umelazimishwa mkuu?
 
Inabidi uelewe FM radio ni dying technology..dunia inahamia kwenye podcasts...online TV n.k...

Sasa yote haya unayaona ni vurugu za marehemu kabla hajafa...

Radio haziwezi tena kuajiri watu qualified sababu ya mishahara...
Hao wanao ajiriwa Wengi wanaajiriwa Kwa sababu Wana followers Wengi huko Instagram wataleta wasikilizaji na matangazo.... matangazo yanazidi pungua kwenye "old media" yanaenda new media...ambayo ni internet...
Leo Milard Ayo ana tengeneza hela kuliko media house zenye majina makubwa...

Wavumilie...wako desperate Sana
Watangazaji wengine hawana mishahara kabisa...wanatumia hizo redio kufanya biashara zao za pembeni
umeandika fact tupu
 
Back
Top Bottom