Magenge ya Radio FM (leo naanza na Radio Wachafu na Radio Mbinguni)

Magenge ya Radio FM (leo naanza na Radio Wachafu na Radio Mbinguni)

Kuna redio mbunge mabasi moro yaan kipindi cha michezo hakuna watangazaji pale. Just imagine mtangazaji kipindi cha michezo anampigia muuza mihogo wa mjini kumuuliza kuhusu wateja wake wa mihogo. Alafu hiyo mada ikachukua 1;30 hrs.
 
Bora umesema mkuu,hizi radio zimejaa watu wenye uelewa mdogo sana,Elimu ndogo,uelewa mdogo wa mambo ya Dunia,
Kuna siku radio wasafi waliongelea Swala la zuchu ku mblock rafiki yake wa kike kwenye Instagram,waliongelea utafikiri ni Swala la maana sana,mpaka ikabidi zuchu apigiwe cm,kuulizwa kurikoni!!
Sasa Hawa wwchambuzi wa mipiracndio wanakela balaa,wangekuwa wanazungumzia mpira kama sekta inayoweza kuzalisha pesa kibao,ingekuwa poa,wanazungumzia porojo tupu,zisizo na maana,yaani wabongo kwa kupenda vitu vyepesi,watu wnapoteza saa tstu kuzungumzia jinsi mchezaji alivyofunga gori!!
Kuna siku mtangazaji mmoja wa kike alikuwa anasimulia jinsi mdogo wake wa kike alivyofsulu masomo,jamaa moja likamuuliza huyo mdogo wako ana umri gani?mdada akajibu,li jamaa bila aibu Wala staha likasema"aaah huyo mkubwa anafaa kwa matumizi ya binadamu""imagine such a vulgar language!!
Kwangu radio Bora ni RFA mwanza na UFM Dar
 
Inabidi uelewe FM radio ni dying technology..dunia inahamia kwenye podcasts...online TV n.k...

Sasa yote haya unayaona ni vurugu za marehemu kabla hajafa...

Radio haziwezi tena kuajiri watu qualified sababu ya mishahara...
Hao wanao ajiriwa Wengi wanaajiriwa Kwa sababu Wana followers Wengi huko Instagram wataleta wasikilizaji na matangazo.... matangazo yanazidi pungua kwenye "old media" yanaenda new media...ambayo ni internet...
Leo Milard Ayo ana tengeneza hela kuliko media house zenye majina makubwa...

Wavumilie...wako desperate Sana
Watangazaji wengine hawana mishahara kabisa...wanatumia hizo redio kufanya biashara zao za pembeni
Well Said.... , Ngoja tuwavumilie japo inakera jins wanavyo destroy generation.
 
Nasikitika kusema kuwa hizi radio zina magenge ya hao eti wanaitwa watangazaji , lakini kinachochoendelea huko ni kichefuchefu tupu.

Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?

Mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha. Haya na hao sijui kina buburu kazi kusifia tajiri yao na wapambe wao ! na lugha zisizo staha.

Nimeandika waraka huu kuwasisitiza TCRA wahakikishe maudhui yote yanayotolewa na radio zetu yawe na mantiki na kama radio haiwezi basi waache kutangaza kwa sababu utanapotangaza watu wote wanasikiliza, wasikilizaji weng hawapendi upuuzi.Unakuta hayo magenge yanazungumzia mambo yao binafsi badala ya maambo yanayohusu jamii ! Radio inatakiwa iwe neutral sio kila dakika ohh mama nani sijui, ohh mara sijui mchafu kafanyaje ohh mara sujui kukoboa kafanyaje ili mradi tu uchawa chawa tunata.waache upuuzi.tunataka kusikiliza vitu vyenye mantiki na sio upuuzi .

Na hayo magenge kila dakika yanapiga kelele utadhani uko kilabu cha kimpumu ! wakijifanya kujua kila kitu kumbe si lolote si chochote ! Hasa huyo buburu ndo kabsaa ! na huyo wanamuita eti genious eti anajua kila kitu ! Ehh wajemeni kazi kweli kweli ! TCRA futeni leseni zao kama hamuwezi kuwa control watu hawa iko siku wataleta balaa nchini.Tujifunze kwa majirani
juzi kati kila nikabidili station naona stori ndo hizo,nikamwabia mwanangu zima zima in nash mc voice.

 
Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?
mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha[emoji818][emoji817]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka sana,yani umepita mule mule dah
 
Yan na akili zangu hiz uniweke kusikiliza radio seriously???
Honestly nikikaa chini kusoma gazet la leo au kusikiliza radio basi 98% ya nitakayokutana nayo huko sio ageni...tayar nayajua au nimeshayasikia mpaka unajiuliza hiv hawa wana habar wa ki leo wamekutwa na mtatizo gani ya akili.?
Why dont they come with new issues?? Why dont tey dig deep?? Wana come up na very average matters ambazo every other person can find that piece of information.

And something worse, presenters cant even process matters katika kiwango cha kumshawish msikilizaji..wajinga kabisaa
Pascal Mayalla wasaidieni vijana
 
Aisee nimecheka sana,kuna mmoja alimwambia mwenzake, ‘mbona unanitizama sana?kama umenitamani nitakuchek tukitoka job’yaani ukisikiliza hizi radio mara kwa mara unaweza haribikiwa!Mi nasikiliza Radio Maria Tanzania tu kama ikibidi

kwamba waliahidiana kulana kimasihara hewani hahaha
 
Kuna redio mbunge mabasi moro yaan kipindi cha michezo hakuna watangazaji pale. Just imagine mtangazaji kipindi cha michezo anampigia muuza mihogo wa mjini kumuuliza kuhusu wateja wake wa mihogo. Alafu hiyo mada ikachukua 1;30 hrs.

na wewe ukakaa unasikiliza kwa lisaa limoja na nusu hadi mada ikaisha sio? au mi ndo sijaelewa, inaonekana ulivutiwa.
 
Nasikitika kusema kuwa hizi radio zina magenge ya hao eti wanaitwa watangazaji , lakini kinachochoendelea huko ni kichefuchefu tupu.

Asubuhi tu wakishaamka na kufika kwenye hayo magenge yao , utaskia 'Aloo vipi wewe ? umeoga kweli wewe ? Leo umelala wapi ? mbona unaonekana umechooooka sana ? au ulikuwa small house ?

Mwingine utamskia , eti leo nimekuja na kitu flani nataka tuzungumze ! basi hapo ataanzisha uzi na wenzake wataanza kubishana hapo zaidi hata ya saa na utashangaa hawa jamaa hivi wanaongea nini ? mara waitane , genious mara wataniane ili mradi muda unakwenda na matangazo yao lukuki ya kamari zisizoisha. Haya na hao sijui kina buburu kazi kusifia tajiri yao na wapambe wao ! na lugha zisizo staha.

Nimeandika waraka huu kuwasisitiza TCRA wahakikishe maudhui yote yanayotolewa na radio zetu yawe na mantiki na kama radio haiwezi basi waache kutangaza kwa sababu utanapotangaza watu wote wanasikiliza, wasikilizaji weng hawapendi upuuzi.Unakuta hayo magenge yanazungumzia mambo yao binafsi badala ya maambo yanayohusu jamii ! Radio inatakiwa iwe neutral sio kila dakika ohh mama nani sijui, ohh mara sijui mchafu kafanyaje ohh mara sujui kukoboa kafanyaje ili mradi tu uchawa chawa tunata.waache upuuzi.tunataka kusikiliza vitu vyenye mantiki na sio upuuzi .

Na hayo magenge kila dakika yanapiga kelele utadhani uko kilabu cha kimpumu ! wakijifanya kujua kila kitu kumbe si lolote si chochote ! Hasa huyo buburu ndo kabsaa ! na huyo wanamuita eti genious eti anajua kila kitu ! Ehh wajemeni kazi kweli kweli ! TCRA futeni leseni zao kama hamuwezi kuwa control watu hawa iko siku wataleta balaa nchini.Tujifunze kwa majirani
kill fm mosh kilimanjaro ni balaaa
 
Tedio freeAfrica kipindi cha bonanza na asubuhi kwenye magazeti kuna jamaa kama shoga anaitwa Kitolori na pía jioni kuna kipindi kina mtangazaji ni mlevi kabisa.
 
Inabidi uelewe FM radio ni dying technology..dunia inahamia kwenye podcasts...online TV n.k...

Sasa yote haya unayaona ni vurugu za marehemu kabla hajafa...

Radio haziwezi tena kuajiri watu qualified sababu ya mishahara...
Hao wanao ajiriwa Wengi wanaajiriwa Kwa sababu Wana followers Wengi huko Instagram wataleta wasikilizaji na matangazo.... matangazo yanazidi pungua kwenye "old media" yanaenda new media...ambayo ni internet...
Leo Milard Ayo ana tengeneza hela kuliko media house zenye majina makubwa...

Wavumilie...wako desperate Sana
Watangazaji wengine hawana mishahara kabisa...wanatumia hizo redio kufanya biashara zao za pembeni

Ukiongeza na kifo cha Ruge muongoza njia lazima wapotee.
 
Inabidi uelewe FM radio ni dying technology..dunia inahamia kwenye podcasts...online TV n.k...

Sasa yote haya unayaona ni vurugu za marehemu kabla hajafa...

Radio haziwezi tena kuajiri watu qualified sababu ya mishahara...
Hao wanao ajiriwa Wengi wanaajiriwa Kwa sababu Wana followers Wengi huko Instagram wataleta wasikilizaji na matangazo.... matangazo yanazidi pungua kwenye "old media" yanaenda new media...ambayo ni internet...
Leo Milard Ayo ana tengeneza hela kuliko media house zenye majina makubwa...

Wavumilie...wako desperate Sana
Watangazaji wengine hawana mishahara kabisa...wanatumia hizo redio kufanya biashara zao za pembeni
Ni sahihi kbsa ndugu yangu
 
Nilifikiliaga ni mimi peke angu huwa naboreka kusikiliza redio kutokana na watangazaji kusifia tu mabosi hamna wabacho ongelea ila ni story zinazo wahusu wao tu hata redio kuita chombo cha habari uongoo
 
Back
Top Bottom