mkuu fafanua hapo kweye kuuwawa,Kuna options mbili tu za kuwaokoa walioko magerezani kuachiwa au kuuwawa
Ni kuwaacha wafungwa hukohuko magerezani nayo ni sehemu ya kalantini.Hawa magereza, wamejipangaje?
Maana pale tuna askari wetu waliobobea kuvunja mikono ya dada zetu na mama zetu, tusije wapoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale kazi yao ni kuvunja mikono na kujeruhi Halima Mdee na Ester BulayaHawa magereza, wamejipangaje?
Maana pale tuna askari wetu waliobobea kuvunja mikono ya dada zetu na mama zetu, tusije wapoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa magereza, wamejipangaje?
Maana pale tuna askari wetu waliobobea kuvunja mikono ya dada zetu na mama zetu, tusije wapoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huelewi maana ya kuuwawa we boya
Siyo magereza pekee. Tumrudie Mungu wetu atuepushe na hii ghadhabu ya huu ugonjwa kwa binadamu.Hawa magereza, wamejipangaje?
Maana pale tuna askari wetu waliobobea kuvunja mikono ya dada zetu na mama zetu, tusije wapoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app