Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaongezea mbeleni huko..Mengine ni
- Carandiru - liko nchini Brazili hii inaitwa Jehanam juu ya uso wa dunia
- Beng Kwang - Thailand
- Lesbaneta - Venezuela
- Abuu guraibu - iraq
Ni kweli kabisa si vizuri kuwashililia watu kwenye magereza wenye makosa madogo madogo hao wangeweza kufanya kazi za kijamii zikiwemo za kufagia mitaa na kuzibua mitaro ya chamber ambazo zinaziba na kusababisha maji kutiririka ovyo mitaani.Kazi ya kuwalisha wafungwa ni costive sana licha ya kuna mtu alishauri wafanyishwe kazi usiku na mchana na wakitembezewa matekeNaunga mkono hoja. Kuna watu wanakwenda jela kwa makosa madogo sana kama matusi na kunywa pombe saa za kazi.
Lindela - Bondeni. [emoji41]
-Kaveli-
Mimi nafikiri tulekebishe Sheria zetu sio kila kosa mtu aende jela tuwape kazi za kijamii kwenye miradi ili kupunguza gharama kwa serikali ya kuwatunza na kulipa vibarua kwenye miradi
Lindela ni kama mahabusu hivi ila sun city ndiyo gerezaLindela - Bondeni. [emoji41]
-Kaveli-
Mzee baba late Pombe alikuwa na kutoa wazo hili hatujui wapi watekelezaji waliishia.Mimi nafikiri tulekebishe Sheria zetu sio kila kosa mtu aende jela tuwape kazi za kijamii kwenye miradi ili kupunguza gharama kwa serikali ya kuwatunza na kulipa vibarua kwenye miradi
Pale hapafai kabisa... yaani kama sio Duniani vile. Nikipata muda nitaendeleza huu uzi maana yapo mengine kadhaa ambayo sijayataja hapa kama vile Gereza la Carandilu huko Brazil na Penal de Ciudad Barrios huko El Salvador.Hilo gitarama ni zaidi ya jehanamu...
Ndio maana hawa UN sijui haki za binadamu mi nawaonaga nao wa michongo tu mbwa hawa..
Gereza gani hakuna chakula mpaka watu wanakula wenzao????
Kwamba pa kishua sana [emoji2][emoji2]Lindela ni kama mahabusu hivi ila sun city ndiyo gereza
Wabongo ambao wameshawahi kukaa jela bongo wanaliita
Sun city hotel yani wakicompare na jela za bongo wanaona pale ni hotelini tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Unamfahamu Insp Mwasifiga!?
Issue sio mateso tuu...mbona bongo magereza yenye mateso yapo kibao sana..
Ile ni hotel ukilinganisha na jela za bongoLindela - Bondeni. 😎
-Kaveli-
Ashukuru hayupo,yangemkuta nae ya kuishi jela.Ni kweli kabisa si vizuri kuwashililia watu kwenye magereza wenye makosa madogo madogo hao wangeweza kufanya kazi za kijamii zikiwemo za kufagia mitaa na kuzibua mitaro ya chamber ambazo zinaziba na kusababisha maji kutiririka ovyo mitaani.Kazi ya kuwalisha wafungwa ni costive sana licha ya kuna mtu alishauri wafanyishwe kazi usiku na mchana na wakitembezewa mateke