Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Hali inatisha! Hata kama wako pale kutumikia adhabu lakini ni familia yako pia, kuna msemo kwamba wanakula bure mimi napinga, wanalima, wanatengeneza fanicha! Wanaingiza pesa! Kwanini wasinunuliwe vijigodoro vile vidogo kila mfungwa akalala peke yake?
Kwanini godoro moja walale wanne mpaka nane na wakiwa bila nguo? Kwani wakipewa vigogoro hawatakuwa gerezani? Kama serikali haiwezi, iruhusu watu binafsi wenye uwezo wasaidie magereza!
Kwanini godoro moja walale wanne mpaka nane na wakiwa bila nguo? Kwani wakipewa vigogoro hawatakuwa gerezani? Kama serikali haiwezi, iruhusu watu binafsi wenye uwezo wasaidie magereza!