Uchaguzi 2020 Magesa Mulongo atangaza nia Kibamba

Anadai alikuwa akinyanyapaliwa kupewa kazi. Coz kila wakimuangalia wanaona cheo alichofikia wanaogopa kumpa kazi.
Mbaya Sana kuanzia juu then ukashuka.

2020
 
Anadai alikuwa akinyanyapaliwa kupewa kazi. Coz kila wakimuangalia wanaona cheo alichofikia wanaogopa kumpa kazi.
Mbaya Sana kuanzia juu then ukashuka.

2020
 
Anadai alikuwa akinyanyapaliwa kupewa kazi. Coz kila wakimuangalia wanaona cheo alichofikia wanaogopa kumpa kazi.
Mbaya Sana kuanzia juu then ukashuka.

2020
Mkuu mbona ilitangazwa kafariki ? Watu waliamua kumzushia tu daa
 
Mbona nilisikiaga amefariki
Kumbe yupo hai aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha
 
Majimbo yoooote huko ameacha hadi kuja kuliona jimbo la Kibamba? Anacheza huyo, hajui wanaoishi kibamba, wale sio wa kudanganywa.
Yaani nimechela kweli bora angetafuta hata mikoani kuliko jimbo la kibamba, uku hautushawishi kwa kanga na vitenge
 

Huyu mshamba alikuwa na nyodo za kipuuzi alipokuwa na madaraka, ila saa hii kawa mpole tu.
 
Write your reply...hio nyau haifai kuwa hata balozi wa nyumba 10...

achilia mbali kuwa baba wa familia

hio jamaa lina nyodo mno,kanga moja cha mdoli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…