Uchaguzi 2020 Magesa Mulongo atangaza nia Kibamba

Usishangae huyu ndo akapita...Tuombe uzima..
 
This guy deserves to be in jail
 
East African,

Jamaa Anafaa Sana. Naamini baada ya kuomba msamaha, huu utakuwa wakati wake wakuitendea haki elimu yake (ana Masters Degree Kali sana).
Huyu mtu aliabuse madaraka, watu na vitu

Hafai kwa uongozi wowote
 
Huyu sio yule aliekuwa anatembea amezungukwa na kundi la mabodigadi au?
 
Kaingia Class, kawa na Akili Pana ukilinganisha na hapo awali, hivyo ni wakati sahihi wa yeye kupata nafasi ili atumie vizuri hii elimu aliyeipata
Haina tofauti na ile Phd ya Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…