Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Aende akajiajiri Taanzania mapori yapo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimejikataza mwenyewe.Hata wewe hujakatazwa
Kweli kabisa wanazivuta kiulaini.Pesa za bwerere kwa kugonga meza tu.
Watu wabaya sana.Mkuu mbona ilitangazwa kafariki ? Watu waliamua kumzushia tu daa
PESA MZEEEKila mtu anataka kuwa Mbunge! Kunani Mjengoni?
Ndiyo ipi hiyo . . ?East African,
Jamaa Anafaa Sana. Naamini baada ya kuomba msamaha, huu utakuwa wakati wake wakuitendea haki elimu yake (ana Masters Degree Kali sana).
Sure mkuu. Na ndiyo maana kila mtu anautaka ubunge kwa sababu maslahi yake ni makubwa mno kuliko professionals na technocratsOne Nation. Two Systems
Hiyo masters alisomea ujinga?East African,
Jamaa Anafaa Sana. Naamini baada ya kuomba msamaha, huu utakuwa wakati wake wakuitendea haki elimu yake (ana Masters Degree Kali sana).
This guy deserves to be in jailAmeyasema hayo alipokuwa akihojiwa na Wasafi FM Leo tarehe 8 July 2020.
Aliyekuwa mkuu wa mikoa ya Arusha, Mwanza na Mara ametangaza nia ya kuwania Ubunge jimbo la Kibamba ambapo yeye kwa sasa anaishi jimbo hilo eneo la Malamba mawili.
Pia amekiri kufanya kosa lililosababisha kutumbuliwa na kuwaonya vijana wengine wasirudie makosa aliyofanya yeye, Amesema Rais anajua alikosea nn lakini na yeye pia anafahamu alichokosea lakini hakuweza kubainisha kosa lenyewe.
Amesema jambo zuri ni kuomba msamaha pale unapoona umekosea.
Huyu mtu aliabuse madaraka, watu na vituEast African,
Jamaa Anafaa Sana. Naamini baada ya kuomba msamaha, huu utakuwa wakati wake wakuitendea haki elimu yake (ana Masters Degree Kali sana).
Kupiga makofi tu then ukaibuka na tsh 15mln kila mweziKila mtu anataka kuwa Mbunge! Kunani Mjengoni?
LG --- Life is GoodKupiga makofi tu then ukaibuka na tsh 15mln kila mwezi
Haina tofauti na ile Phd ya JiweKaingia Class, kawa na Akili Pana ukilinganisha na hapo awali, hivyo ni wakati sahihi wa yeye kupata nafasi ili atumie vizuri hii elimu aliyeipata
AmeeeenMie nikijua kesha tangulia mbele ya haki!