Magese amvaa albert Msando, Kisa picha za uchi.....

Magese amvaa albert Msando, Kisa picha za uchi.....

Yes yes no kibao Humo!
Watkane kisw hili tu

Ova
 
Msando huyu huyu?! Kama Gigy money asingekuwa anakaa uchi angepata wapi uwezo wa kujua alivyo na kumfuata akamtia madole kwenye uchi? Kama anapenda wanao jistiri alipata wapi ujasiri wa kwenda kumtetea Wema Sepetu na video zake za upuuzi mtandaoni? Kweli nyani haoni kundule. Millen Kukaa utupu ni kazi yake analipwa pesa ndefu kwa kuonesha vichupi, yeye alipata faida gani kutia madole kwa Gigy tena wakati ni mume wa mtu?
 
Wakipata matatizo wanawaona watanzania wa maana ooh niombeeni mwenzenu nipo kwenye wakati mgumu,yakiisha wanasahau wanaanza shobo mchundo aiseee

Kama sio yeye aliyekua anajiliza kwa maumivu ya endo
Hilo tatizo alipona?
 
Huyu nilimuonaga sio + mshamba alipobadili jina kutoka Happiness to Millen yaani familia inakupa jina zuri unaenda ulaya unajibadilisha uonekane wa ulaya mafyiiiiiii
Karanduka sasa hivi mkwanja unamtia kiwewe

Hivi nasikia mbengu alinunua laborator ina maana mtoto hana baba yule si ndio au inakuwaje
 
wabongo tatizo wanapenda kupangia watu maisha yule sio level za tandale kwa sasa mwanae akienda shule tu anavaa brand clothes.....napita kiminyato
 
Mambo yake muacheni mwenywe... huyo mdada ana stress sana...

Aanapitia mengi sana ya hovyo...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom