[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi lugha za watu nimeambulia neno Bro tu tena liko mwisho mwisho huko.
[emoji106]Unampangiaje mtu ambaye ni above 18 chakuufanyia mwili wake kila mtu si ana mwili afanye anacho taka tuta onana siku ya hukumu.
Hilo tatizo alipona?Wakipata matatizo wanawaona watanzania wa maana ooh niombeeni mwenzenu nipo kwenye wakati mgumu,yakiisha wanasahau wanaanza shobo mchundo aiseee
Kama sio yeye aliyekua anajiliza kwa maumivu ya endo
Huyu nilimuonaga sio + mshamba alipobadili jina kutoka Happiness to Millen yaani familia inakupa jina zuri unaenda ulaya unajibadilisha uonekane wa ulaya mafyiiiiiii
Karanduka sasa hivi mkwanja unamtia kiwewe
Hilo tatizo alipona?
Kama TWA Chill Bettina TuliaHafu tutako twake tudogo
Unaweza dhani tuparachichi, mbeya huita tukatapera
Teh πππKama TWA Chill Bettina Tulia