Mageti ya Hospitali yana ulazima gani kulindwa na makampuni ya ulinzi?

Mageti ya Hospitali yana ulazima gani kulindwa na makampuni ya ulinzi?

fatakifataki

Senior Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
134
Reaction score
60
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
 
Halafu ukiingia ndani nako unakuta wahudumu karibia wote, hawana hizo barakoa!

Yaani ni wizi mtupu.
 
Jaman kila mmoja anajipimia Kwa urefu wa kamba yake na wewe tafuta gap utengeneze mrija unyonye
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Wewe ulikua unataka yalindwe na nani?
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Yalitakiwa kulidwa na polisi sio KK security
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Kwa uelewa wako umeona hiyo ndio kazi kubwa inayowafanya wawe hapo?covid 19, imeanza lini?huko nyuma hawakuwepo?, nani atakuwa akifungua mageti ili magari kuingia /kutoka? Kusimamia uingiaji wa ndugu kuona wagonjwa kwa muda sahihi!!
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Kwanza ukiachilia la barakoa lililoanza hivi juzi.
Walinzi ni muhimu mno kwa usalama wa wagonjwa waliolazwa humo ndani, wafanyakazi na mali za taasisi ndomana wanakagua hata kukagua unaingia ama kutoka na nini.
Pia kuna wagonjwa wamekua wakitoroka ama kutoroshwa na watoto wamekua wakiibwa hospitalini.
Usilalamike sababu ya barakoa, tambua umuhimu wao mkubwa mno
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Usalama mahospitalini ni muhimu sana. Watu waovu watafikiria mara mbili mbili kufanya uhalifu. Vifaa vya kupima magonjwa mbali mbali hospitalini ni ghali sana, wagonjwa nao ni mali- mgonjwa akitoweka hospitali sidhani kama ndugu zake watakaa kimya bila kuishitaki hospitali. Kesi ikifika Mahakamani taratibu za usalama pale hospitalini zitakaguliwa- na kama hospitali haina ulinzi , ni kwamba hospitali itashindwa kesi na kutakiwa kulipa fidia- mamilioni kwa uzembe. Nchi zingine biashara za viungo vya binadamu ni kubwa sana-na ina faida kubwa. Asili ya binadamu hawapendi taratibu- ondoa askari uone fujo zitavyokuwa zinatokea mara kwa mara hapo getini.
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Usi justfy wrong kwa wrong nyingine
Unajua hospitali ni sehemu sensitive kwa magonjwa basi nunua barakoa yako yenye ubora vaa itakusaidia hata wewe kubeba magonjwa ya hewa (airborne diseases) kwa wagonjwa utakaokutana nao

Suala la wahudumu au walinzi kutokuvaa lina uhusiano gani na wewe? Wajua wao wamechanja kinga gani?

Acheni unaharakati kwenye mambo madogo ambayo yapo wazi kila litu ni kubisha tuu na hiyo ni dharau ya waziwazi kwa huyo mlinzi.

Fanya kazi yake iwe rahisi na wewe usijae nyongo kwenye swali lisilo na msingi jifanye mjinga siku ipite leo unaona hao walinzi hawana maana lakini siku ukija kukuta mgonjwa wako kafanyiwa tukio baya ,ama kaibiwa msaada wa kwanza ni hao. Watanzania tuache madharau hasa baada ya kusoma kidogo na kupata ka kazi kidogo na kuwa na uwezo wa kununua ka tekno cha kuingia twita na.jamii forum tunaona kazi nyingine ama ni wajinga au hawakusoma kumbe ni nature ya kazi ilivyo..Sioni mantiki ya huu uzi
 
Wagogo wanasemaga Health iis national security issue ...tambua kuanzia leo
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Unataka maiti ziibiwe.
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Ndo urefu wa kamba yake
 
Wewe ulikua unataka yalindwe na nani?
Nilikuwa nataka yalindwe lakini wale walinzi wafanye kazi yao ya ulinzi pekee na sio kuwafanya hata wananchi wawe na woga wa kuingia hispitali. Nenda pale kaone kaubabeubabe kao ndio utajua kuwa hujui
 
Nimepita katika hospitali kadhaa katika pilika zangu za utafutaji rizki. Nimeona katika mageti mengi ya hospitali za wilaya, mikoa, hasa zile za rufaa za mikoa, vituo vya afya pia, kunakuwa na maaskari ama wawili ama mmoja magetini ambaye yeye kazi yake ni kuuliza unayo barakoa? Wengi wao akijibiwa sina anakujibu kanunue barakoa kisha ndipo uingie ndani ya hospitali.

Jambo la kushangaza hata wao askari hao unakuta hawavai kabisa hizo barakoa. Nje ya geti pale unakuta barakoa limeshonwa shonwa na mwananchi hivi amelishika mkononi anakwambia anauza elfu moja. Kwa kuwa una shida hospitali unalazimika kununua ile barakoa ndipo anakuruhusu kuingia.
Heading na content vitu viwili tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom