Amekomaa kweli na hilo la mifumo kusomana, hiyo ni excuse tu ya wasaidizi wake. Yes, ni muhimu mifumo kusomana lakini hilo sio kiini cha matatizo.
Taarifa zote unazozihitaji zipo hata huko kwenye hiyo mifumo isiyosomana, nini kinasababisha zisifanyiwe kazi?
Kuwa na data ni jambo moja, kuchata hizo data na kuzigeuza kuwa taarifa (information) ni jambo lingine. Kutengeneza maana ya taarifa unazozipata na kuweza kufanya maamuzi ni jambo tofauti pia.
It's a mundane, boring task, inahitaji mtu mchapa kazi, mwenye akili nyingi na moyo wa kufuatilia bila kuchoka, kama alivyokuwa JPM.
If you can't use the data you have now, hiyo mifumo kusomana won't make any difference. Your people will just come up with another excuse as to why things aren't working out.