Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Rais Samia Suluhu amesema ndani ya miezi sita kuanzia sasa mifumo ya kiteknolojia inayoundwa na serikali itampa uwezo wa kufuatilia taarifa zote za taasisi za umma zikiwemo za bandari.
Ili kukuza biashara ni lazima mifumo yote ya serikali isomane na taarifa zioane kwani mifumo iliyopo sasa haisomani na kusababisha baadhi ya changamoto.
Maboresho ya mifumo hiyo ni muendelezo wa adhima ya Rais Samia wa kuiinua sekta binafsi nchini kwa kuwatengenezea mazingira bora ya biashara ili kuinua uchumi wa taifa kwani wao ndio wanafanya biashara na si serikali.
Ili kukuza biashara ni lazima mifumo yote ya serikali isomane na taarifa zioane kwani mifumo iliyopo sasa haisomani na kusababisha baadhi ya changamoto.
Maboresho ya mifumo hiyo ni muendelezo wa adhima ya Rais Samia wa kuiinua sekta binafsi nchini kwa kuwatengenezea mazingira bora ya biashara ili kuinua uchumi wa taifa kwani wao ndio wanafanya biashara na si serikali.