EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
Inafahamika ni gharama sana kwa sisi kuanzisha mitaala yetu ,lakini ni dhahiri na ni wazi kuwa tutakapo iianzisha na kuisimamia itakuwa ni yenye Tija.
Tuanze na
★★Elimu ya Sekondari ya juu yaani kidato cha tano na sita.
Wazazi ambao wengi ni wakulima hipa ada.
Vijana hao wakifauru huendelea kulipiwa ada ambayo ni mikopo kutoka serikalini lakini hiyo ni kalo ya Mkulima.
★★Ajira:Vina hao wakimaliza masomo yao ya chuoni mara nyingi ilivyobahati kwa wengine huajiriwa na kuanza kulipwa mshahara ambao pina ni fedha ya MKULIMA.
Tunajifunza kitu hapa TANZANIA yetu inakosa kuwa na vyanzo vizuri vya mapato na kushindwa kutumia ujuzi wa watu wake ipasavyo kwa madai ya kuwa WAKULA hawa wakisaidiwa tutakula na kusasa na kisha hakiba itabaki.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★FUNZO ★★★★★★★★★★★★
Nilipata funzo hili kutokana na mafunzo ya JKT 835 ,Tanga mnamo mwaka wa 2022 majibu wa sheria.
Tulikula chakula tulicholima sisi ,tulijenga ofisi sisi wenyewe hata barabara tulichonga kwa mikono yetu ingawa haikuwa rahisi ,lakini tuliweza kwa Nguvu za mwenyezi Mungu na za kamanda kikosi
Lieutenant colnel Agrey Mwandi.
Kumbe"
Qn.... kama Jeshi letu linaweza kujihudumia Kwanini tusifanye mfumo wetu wa Elimu uihudumie Tanzania?"
Nadhani Serikali ifanye jambo moja kwenye haya yafuatayo kwaajili ya maendeleo;
1: Utumie mitaala hii lakini ifanye kuwa yenye tija.
★Ibadili astashahada zote za uhandisi ziwe za vitendo mikakati,yaani kama ni
-Uhandisi wa kielektroniki wapewe kazi za kulekebisha vifaa na utengenezaji mithambo kwaajili ya maendeleo ya tekinolojia .Kwa kufanya hivi Serikali inaweza kusuasua kwa miaka miwili tu kwa kitendo cha kuwaleta Waalimu wezeshi na vifaa wezeshi kutoka nje baada ya hapo wanafunzi hao Naamini watakuwa na uwezo wa kujilipia ada wao binafsi kutokana na tenda watakazopewa na makampuni ,watu hata Serikali kwani hakuna mfanya biashara ambaye hatawaza kuweka hisa zake .Baada ya hapo wanafunzi wakiwa mashuleni watajitahidi kuvitafuta vipawa vyao mapema maana watajua chuoni sio lelemama.
Kama Serikali itafanya hivyo kwa Wahandisi wote itanufaika na mambo haya ;Kuondokana na malimbikizo ya mikopo kwaajili ya elimu ya juu hususa wahandisi,pili;itaondokana na atha ya kuagiza bidhaa ughaibuni padina ulazima wowote Kwakuwa Wahandisi wote watakuwa wamemaliza mambo yao.Tatu ,na kubwa kuliko itapunguza UKOSEFU wa ajira kwa asilimia 50 kutoka hapa tulipo.
2; Kuondoa mfumo wote ambao unaonekana ni kandamizi kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tunaendelea★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Tuanze na
★★Elimu ya Sekondari ya juu yaani kidato cha tano na sita.
Wazazi ambao wengi ni wakulima hipa ada.
Vijana hao wakifauru huendelea kulipiwa ada ambayo ni mikopo kutoka serikalini lakini hiyo ni kalo ya Mkulima.
★★Ajira:Vina hao wakimaliza masomo yao ya chuoni mara nyingi ilivyobahati kwa wengine huajiriwa na kuanza kulipwa mshahara ambao pina ni fedha ya MKULIMA.
Tunajifunza kitu hapa TANZANIA yetu inakosa kuwa na vyanzo vizuri vya mapato na kushindwa kutumia ujuzi wa watu wake ipasavyo kwa madai ya kuwa WAKULA hawa wakisaidiwa tutakula na kusasa na kisha hakiba itabaki.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★FUNZO ★★★★★★★★★★★★
Nilipata funzo hili kutokana na mafunzo ya JKT 835 ,Tanga mnamo mwaka wa 2022 majibu wa sheria.
Tulikula chakula tulicholima sisi ,tulijenga ofisi sisi wenyewe hata barabara tulichonga kwa mikono yetu ingawa haikuwa rahisi ,lakini tuliweza kwa Nguvu za mwenyezi Mungu na za kamanda kikosi
Lieutenant colnel Agrey Mwandi.
Kumbe"
Qn.... kama Jeshi letu linaweza kujihudumia Kwanini tusifanye mfumo wetu wa Elimu uihudumie Tanzania?"
Nadhani Serikali ifanye jambo moja kwenye haya yafuatayo kwaajili ya maendeleo;
1: Utumie mitaala hii lakini ifanye kuwa yenye tija.
★Ibadili astashahada zote za uhandisi ziwe za vitendo mikakati,yaani kama ni
-Uhandisi wa kielektroniki wapewe kazi za kulekebisha vifaa na utengenezaji mithambo kwaajili ya maendeleo ya tekinolojia .Kwa kufanya hivi Serikali inaweza kusuasua kwa miaka miwili tu kwa kitendo cha kuwaleta Waalimu wezeshi na vifaa wezeshi kutoka nje baada ya hapo wanafunzi hao Naamini watakuwa na uwezo wa kujilipia ada wao binafsi kutokana na tenda watakazopewa na makampuni ,watu hata Serikali kwani hakuna mfanya biashara ambaye hatawaza kuweka hisa zake .Baada ya hapo wanafunzi wakiwa mashuleni watajitahidi kuvitafuta vipawa vyao mapema maana watajua chuoni sio lelemama.
Kama Serikali itafanya hivyo kwa Wahandisi wote itanufaika na mambo haya ;Kuondokana na malimbikizo ya mikopo kwaajili ya elimu ya juu hususa wahandisi,pili;itaondokana na atha ya kuagiza bidhaa ughaibuni padina ulazima wowote Kwakuwa Wahandisi wote watakuwa wamemaliza mambo yao.Tatu ,na kubwa kuliko itapunguza UKOSEFU wa ajira kwa asilimia 50 kutoka hapa tulipo.
2; Kuondoa mfumo wote ambao unaonekana ni kandamizi kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tunaendelea★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
Upvote
1