EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mataifa ya Magharibi yamelaani mipango ya Moscow ya kufanya kile kinachoitwa kura ya maoni ya dharura katika sehemu za Ukraine ambazo kwa sasa ziko chini ya udhibiti wa Urusi.
Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.
Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".
Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.
Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.
Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.
Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.
==============
Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media
Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.
Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".
Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.
Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.
Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.
Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.
==============
Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media