Magharibi yalaani mipango ya Urusi ya kura ya maoni kuhusu Ukraine

Magharibi yalaani mipango ya Urusi ya kura ya maoni kuhusu Ukraine

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Mataifa ya Magharibi yamelaani mipango ya Moscow ya kufanya kile kinachoitwa kura ya maoni ya dharura katika sehemu za Ukraine ambazo kwa sasa ziko chini ya udhibiti wa Urusi.

Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.

Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".

Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.

Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.

Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.

Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.

==============

Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media

Screenshot_20220921-100128_Facebook.jpg
 
Hii vita ina propaganda sana

Ngoja tuupe muda nafasi tutajua nani anachapika kiukweli.
Me wananichanganya sana

Utasikia Ukraine anatembeza kichapo cha mbwa koko anakomboa maeneo yake wanajeshi wa Urusi wanakimbia.

Ukiuliza ni maeneo gan wameishakomboa unaambulia kejeli na matusi.

Sasa wananchi wenyewe wameamua kupiga kura, makelele ndo yamezidi. Me nilidhani hii sasa ndo demokrasia inayohubiriwa na westners kila siku.

Sielewi wasiwasi wa westners ni nini ikiwa uchaguzi huu utafanyika? Binafsi napata wasiwasi hawa wananchi wanalazimishwa kuwa sehemu ya Ukraine ilihali wao wanapenda kuwa Urusi.

Si tuwaache wenyewe waamue hatima yao jaman, kwan shida iko wapi?
 
Me wananichanganya sana

Utasikia Ukraine anatembeza kichapo cha mbwa koko anakomboa maeneo yake wanajeshi wa Urusi wanakimbia.
Ukiuliza ni maeneo gan wameishakomboa unaambulia kejeli na matusi.

Sasa wananchi wenyewe wameamua kupiga kura, makelele ndo yamezidi. Me nilidhani hii sasa ndo demokrasia inayohubiriwa na westners kila siku.
Sielewi wasiwasi wa westners ni nini ikiwa uchaguzi huu utafanyika? Binafsi napata wasiwasi hawa wananchi wanalazimishwa kuwa sehemu ya Ukraine ilihali wao wanapenda kuwa Urusi.

Si tuwaache wenyewe waamue hatima yao jaman, kwan shida iko wap
Wanamiliki mainstream media wana wa-brainwash watu kwa kutangaza kushinda kila siku ila chakushangaza hata Kherson waliyosema wameichukua kumbe ni uongo?😅😅😅
 
Mataifa ya Magharibi yamelaani mipango ya Moscow ya kufanya kile kinachoitwa kura ya maoni ya dharura katika sehemu za Ukraine ambazo kwa sasa ziko chini ya udhibiti wa Urusi.

Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.

Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".

Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.

Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.

Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.

Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.

==============

Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media

View attachment 2363327
Tunawataka waingie uwanja wa vita mbona wanakwepakwepa
IMG_20220921_125905_422.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mataifa ya Magharibi yamelaani mipango ya Moscow ya kufanya kile kinachoitwa kura ya maoni ya dharura katika sehemu za Ukraine ambazo kwa sasa ziko chini ya udhibiti wa Urusi.

Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.

Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".

Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.

Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.

Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.

Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.

==============

Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media
Sio Kherson Ukrean juzi wamekomboa mji unaitwa Kharkiv na sasa wanaendelea na Luhansky ambapo kuna vijiji tayari vipo mikononi mwa Ukrean, lakini pia kuna vijiji ambavyo Jeshi la Ukrean wameenda kwa kazi wakakuta jeshi la Russia tayari wameshakimbia vita, Mpango wa Ukrean ni hadi December Russia watakuwa wameshaitema hadi Crimea kwa mujibu wa Zelensky.
 
Sio Kherson Ukrean juzi wamekomboa mji unaitwa Kharkiv na sasa wanaendelea na Luhansky ambapo kuna vijiji tayari vipo mikononi mwa Ukrean, lakini pia kuna vijiji ambavyo Jeshi la Ukrean wameenda kwa kazi wakakuta jeshi la Russia tayari wameshakimbia vita, Mpango wa Ukrean ni hadi December Russia watakuwa wameshaitema hadi Crimea kwa mujibu wa Zelensky.
Amka usije kulowesha kitanda
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    Screenshot_20220921-150658_Facebook.jpg
    234.2 KB · Views: 6
Sio Kherson Ukrean juzi wamekomboa mji unaitwa Kharkiv na sasa wanaendelea na Luhansky ambapo kuna vijiji tayari vipo mikononi mwa Ukrean, lakini pia kuna vijiji ambavyo Jeshi la Ukrean wameenda kwa kazi wakakuta jeshi la Russia tayari wameshakimbia vita, Mpango wa Ukrean ni hadi December Russia watakuwa wameshaitema hadi Crimea kwa mujibu wa Zelensky.
???? huyo jamaa aliyesimama peke yake hapo ndio anapiga kura ya maoni??
 
Putin anarudia makosa ya Nicolas II. Kifo kinamuita.
 
Mataifa ya Magharibi yamelaani mipango ya Moscow ya kufanya kile kinachoitwa kura ya maoni ya dharura katika sehemu za Ukraine ambazo kwa sasa ziko chini ya udhibiti wa Urusi.

Kura hizo zimeitishwa na maafisa wanaoungwa mkono na Urusi katika mikoa minne ya Ukraine kuuliza iwapo wanapaswa kuwa sehemu ya Urusi.

Marekani, Ujerumani na Ufaransa zimesema kamwe hazitatambua matokeo ya kura kama hizo "za udanganyifu".

Muungano wa kijeshi wa Nato ulisema mipango hiyo inaashiria kuongezeka kwa vita.

Mipango ya kuendesha uchaguzi kwa siku tano, kuanzia Ijumaa, imetangazwa katika mikoa ya mashariki ya Luhansk na Donetsk - pamoja na Zaporizhzhia na Kherson kusini.

Quartet inawakilisha karibu 15% ya eneo la Ukraine - au eneo lenye ukubwa wa Hungary, kwa mujibu wa Shirika la habari la Reuters.

Pendekezo kwamba kura halali na za haki zinaweza kuendeshwa katikati ya vita lilipuuzwa mara moja na nchi za Magharibi.

==============

Mliodai Kherson imekombolewa njooni mtuambie maana mmelishwa sana matango pori na western mainstream media

View attachment 2363327
Kulaani tuu haitoshi,watoe kifurushi Cha pesa na silaha na wanajeshi kupambana na Russia
 
Me wananichanganya sana

Utasikia Ukraine anatembeza kichapo cha mbwa koko anakomboa maeneo yake wanajeshi wa Urusi wanakimbia.

Ukiuliza ni maeneo gan wameishakomboa unaambulia kejeli na matusi.

Sasa wananchi wenyewe wameamua kupiga kura, makelele ndo yamezidi. Me nilidhani hii sasa ndo demokrasia inayohubiriwa na westners kila siku.

Sielewi wasiwasi wa westners ni nini ikiwa uchaguzi huu utafanyika? Binafsi napata wasiwasi hawa wananchi wanalazimishwa kuwa sehemu ya Ukraine ilihali wao wanapenda kuwa Urusi.

Si tuwaache wenyewe waamue hatima yao jaman, kwan shida iko wapi?
Hii vita ndugu yangu ina propaganda sana

Maana nmekuja kujua kumbe Urusi bado anashikilia hayo maeneo ya Donbas ndio maana kura ya maoni inaitishwa

Sasa najiuliza hayo maeneo anayonyang'anywa urusi kila siku ni maeneo gani

Ndio maana nikasema tuupe muda na nafas utatupatia jibu sahihi kuwa nani anachapika kiukweli ukweli.
 
Back
Top Bottom