Magharibi yalaani mipango ya Urusi ya kura ya maoni kuhusu Ukraine

Magharibi yalaani mipango ya Urusi ya kura ya maoni kuhusu Ukraine

Ukrean ni nchi kubwa sana kwenye eneo lake la ardhi, mji waliokomboa Ukreain sio Kherson ni Kharkiv na kazi inaendelea sasa wameanza kukombo vijiji vya Luhansky
20% ya ardhi yenye utajiri wa kufa mtu upo chini ya Russia
 
Akili azitolee wapi jitu linalong'ang'ana kutetea mibeberu inayotuwekea vikwazo kujenga miundombinu ya mradi mkubwa wa mafuta kati yetu TZ na Uganda ili tujikwamue kiuchumi [emoji848][emoji38]

Eti bado tu linawashobokea [emoji1]
Halafu kweli hili jamaa mibeberu na ccm imeliroga
 
20% ya ardhi yenye utajiri wa kufa mtu upo chini ya Russia
Hizo ni data za zamani kidogo sasaiv eneo ni 15% na hiyo 15% juzi Ukrean wanasema sio fully ni randomly, nusu wanadhibiti wenyewe Ukrean, ikifika Dec mwaka huu Ukrean wana matumaini makubwa kuwa watakuwa wamemaliza kazi kumtoa mvamizi ndani ya nchi yao kote kote
 
Hizo ni data za zamani kidogo sasaiv eneo ni 15% na hiyo 15% juzi Ukrean wanasema sio fully ni randomly, nusu wanadhibiti wenyewe Ukrean, ikifika Dec mwaka huu Ukrean wana matumaini makubwa kuwa watakuwa wamemaliza kazi kumtoa mvamizi ndani ya nchi yao kote kote
Ok tufanye hiyo 15% iliyojaa utajiri wa viwanda, mbolea, ngano, chuma, mafuta, nlg, Vinu viwili vya nyuklia kikiwepo kile kikubwa zaidi barani Ulaya.

How about that 🤓🤓🤓
 

Attachments

  • Screenshot_20220922-142244.png
    Screenshot_20220922-142244.png
    186 KB · Views: 3
Back
Top Bottom