Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Nawatakia uchaguzi mwema
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wathubutu waone wanaishia kubwekea ndani ya mageti yaoKulaani tuu haitoshi,watoe kifurushi Cha pesa na silaha na wanajeshi kupambana na Russia
Wamewafyeka hadi sasa mnaita Jeshi la akiba 😁😁Wathubutu waone wanaishia kubwekea ndani ya mageti yao
20% ya ardhi yenye utajiri wa kufa mtu upo chini ya RussiaUkrean ni nchi kubwa sana kwenye eneo lake la ardhi, mji waliokomboa Ukreain sio Kherson ni Kharkiv na kazi inaendelea sasa wameanza kukombo vijiji vya Luhansky
Imagine JKT wa Russia wanawatembezea kichapo makomandoo wa NATO si aibu hii 😂😂😂😂Wamewafyeka hadi sasa mnaita Jeshi la akiba 😁😁
Mtaita hadi migambo baada ya kufyekwa wote,kuna Ukraine sio NATOImagine JKT wa Russia wanawatembezea kichapo makomandoo wa NATO si aibu hii 😂😂😂😂
Sasa HIMARS zinafanya kazi gani kama Russia bado anachill zake majimbo matatu yenye utajiri wa 12.5 trillion dollarsMtaita hadi migambo baada ya kufyekwa wote,kuna Ukraine sio NATO
Zinawafyeka Russia,saizi kifurushi kingine kinaandaliwa.Sasa HIMARS zinafanya kazi gani kama Russia bado anachill zake majimbo matatu yenye utajiri wa 12.5 trillion dollars
Hivyo ni vijisilaha vya maonyesho tu ukija kwenye real game mnachapika vibaya. Saivi UK amekuwa msemaji mpya wa propaganda huko Ukraine 😅😅😅Zinawafyeka Russia,saizi kifurushi kingine kinaandaliwa.
Vingekuwa vya maonyesho visingewafyeka Askari wote wa Russia hadi wameitisha migambo 😂😂Hivyo ni vijisilaha vya maonyesho tu ukija kwenye real game mnachapika vibaya. Saivi UK amekuwa msemaji mpya wa propaganda huko Ukraine 😅😅😅
We jamaa mi najuaga una akili kumbe huna . samahani lakiniVingekuwa vya maonyesho visingewafyeka Askari wote wa Russia hadi wameitisha migambo [emoji23][emoji23]
Mbona wewe ni kopo afadhari yanguWe jamaa mi najuaga una akili kumbe huna . samahani lakini
Na bado mnaburuzwa na migamboVingekuwa vya maonyesho visingewafyeka Askari wote wa Russia hadi wameitisha migambo 😂😂
Akili azitolee wapi jitu linalong'ang'ana kutetea mibeberu inayotuwekea vikwazo kujenga miundombinu ya mradi mkubwa wa mafuta kati yetu TZ na Uganda ili tujikwamue kiuchumi [emoji848][emoji38]We jamaa mi najuaga una akili kumbe huna . samahani lakini
Halafu kweli hili jamaa mibeberu na ccm imelirogaAkili azitolee wapi jitu linalong'ang'ana kutetea mibeberu inayotuwekea vikwazo kujenga miundombinu ya mradi mkubwa wa mafuta kati yetu TZ na Uganda ili tujikwamue kiuchumi [emoji848][emoji38]
Eti bado tu linawashobokea [emoji1]
Hizo ni data za zamani kidogo sasaiv eneo ni 15% na hiyo 15% juzi Ukrean wanasema sio fully ni randomly, nusu wanadhibiti wenyewe Ukrean, ikifika Dec mwaka huu Ukrean wana matumaini makubwa kuwa watakuwa wamemaliza kazi kumtoa mvamizi ndani ya nchi yao kote kote20% ya ardhi yenye utajiri wa kufa mtu upo chini ya Russia
Ok tufanye hiyo 15% iliyojaa utajiri wa viwanda, mbolea, ngano, chuma, mafuta, nlg, Vinu viwili vya nyuklia kikiwepo kile kikubwa zaidi barani Ulaya.Hizo ni data za zamani kidogo sasaiv eneo ni 15% na hiyo 15% juzi Ukrean wanasema sio fully ni randomly, nusu wanadhibiti wenyewe Ukrean, ikifika Dec mwaka huu Ukrean wana matumaini makubwa kuwa watakuwa wamemaliza kazi kumtoa mvamizi ndani ya nchi yao kote kote
😆😆😆😆😆😆 Ona wenzio wanapewa kichapo👇Na bado mnaburuzwa na migambo