Maghorofa 64 hatarini kuanguka Kariakoo

Hayo majengo waliyoyabaini yana mapungufu yawekwe alama kabisa,tupite mbali nayo
 
Wataalamu wamesema, serikali ichukuwe hatua, tatizo kuna majengo ya wale watu "unanijua mimi ni nani?".
 
Are you dumb, stupid or dumb?
 
na mwaka mwingine litaanguka jingine kama hivi. toka 2013 kosa lilelile tena 2024.
 
 
Duh! Huu uzi ulipotezewa tangu 2013, ndiyo umekuja kufufuliwa mara tu baada ya matokeo kuanza kuonekana!!
 
Kama huu uzi una zaidi ya miaka 10 na haukupata wachangiaji,basi hata sisi tunastahili lawama coz tuliuignore pia,
Inawezekana hatukuona umuhimu wake kipindi hicho.

😀😀
Uzi wa mambo muhimu tofauti na siasa haupati wachangiaji wengi.
Ukiandika mambo ya ngono, ndoa na siasa utapata wachangiaji.
Zinafuata habari za Simba na Yanga.
Takwimu zinasema watatu kati ya wanne ni ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…