Ujinga kama huu ndo siupendagi sasa ningekuwa najua Mwezi au tarehe ya kuzaliwa ningetafuta nini kwako??Wewe ungesema Mwaka wako kama unaujua basi zidisha mara kadhaa gawa kwa 12 brah brah utajua mwezi uliozaliwa na tarehe kuliko ----- uliotujazia hapo juu!