Magic powder!

Magic powder!

jouneGwalu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
2,687
Reaction score
1,782
Hello wanajamvi.
Salamu za upendo kwenu...
Ningependa kufahamu madhara yatokanayo na matumizi ya "Magic Powder"
kwa wale wasiofahamu jina hlo!
Namaanisha ule unga unaotumika kunyolea hasa ndevu.
Sikuhizi umekua maarufu sana kwenye hizi saloon zetu mtaani.
Nataraji msaada wenu kwa hili.

Nawasilisha!
 
Yaani nimeutumia juzi ( Jmosi) lakini adi leo Jtatu kidevu na usoni nina mauvi makali kabisaa na uso bado umevimba niapa kutoutumia tena!
 
Yaani nimeutumia juzi ( Jmosi) lakini adi leo Jtatu kidevu na usoni nina mauvi makali kabisaa na uso bado umevimba niapa kutoutumia tena!

nilitumia mara ya kwanza wakati nasimamia harusi flani hvi.. Dah kidevu kilikuwa kizito kweli pia maumivu ya kama nyama imetoka. Ila uzuri wake nliona hamna ndevu hata moja hata upapase vipi. Nmekuwa mzito sana kutumia tena ile mambo
 
Yaani nimeutumia juzi ( Jmosi) lakini adi leo Jtatu kidevu na usoni nina mauvi makali kabisaa na uso bado umevimba niapa kutoutumia tena!

nilitumia mara ya kwanza wakati nasimamia harusi flani hvi.. Dah kidevu kilikuwa kizito kweli pia maumivu ya kama nyama imetoka. Ila uzuri wake nliona hamna ndevu hata moja hata upapase vipi. Nmekuwa mzito sana kutumia tena ile mambo
mi natumia siku nyingine inaniunguza, ila nilichogundua nilikuwa nakosea kwenye ratio sasa hainisumbui; sijui labda kansa ya kidevu hapo baadae
 
Natumia Magic powder for almost 2 yrs nw na haijaniletea madhara so far...
Pengne watu wanakosea dk za kuacha huo mchanganyko kwenye ngoz, (unatakiwa uache kwa dk 4-6)..
Isizid hapo, then unaosha uso na maji meng..
Ni nzur xana, ipo pouwa..
I encourage people to use, hasa wanaotoka na vipele wakinyoa ndevu..
Nawasilisha
 
mi natumia siku nyingine inaniunguza, ila nilichogundua nilikuwa nakosea kwenye ratio sasa hainisumbui; sijui labda kansa ya kidevu hapo baadae

kweli natamani nijue mchanganyiko wake wa chemical na ingridient zake ila hata kama naendelea kutumia niwe na confidence!
Ila kwasasa pia naogopa kweli, nkichek mechanism yake inavyofanya kazi, inaonekana ni kali sana.
Ni muhimu kujua side-effect zake kama zipo
 
Natumia Magic powder for almost 2 yrs nw na haijaniletea madhara so far...
Pengne watu wanakosea dk za kuacha huo mchanganyko kwenye ngoz, (unatakiwa uache kwa dk 4-6)..
Isizid hapo, then unaosha uso na maji meng..
Ni nzur xana, ipo pouwa..
I encourage people to use, hasa wanaotoka na vipele wakinyoa ndevu..
Nawasilisha

Pia natoka vipele mda mwingine, inategemea unyoaji wa kinyozi. Afu nina madevu mengi kweli, hivyo kila wiki inabidi nizichonge!
Kweli magic powder inafanya kazi vizuri, hata mi nlpotumia mara hzo chache kidevu kilitulia, pia vipele havikutoka. Ila utenda wake ndio unanitisha ndio maana nkataka ufafanuzi wa kitaalum ili kama nkiendelea kutumia niwe na amani.
Ahsante sana kwa kunipa moyo mkuu
 
mh! sihusiki!

Usiogope fb, pia unahusika ndio maana umetia neno na nadhani utaendelea kufuatilia hadi tutakapopata jibu la kitaalamu.
Nadhani unaweza kumshauri mtu wako kwa data za hapa.
So usiondoke fb
 
Kusema kweli hata mimi natumia 'Magic' regularly kwa mwaka mzima sasa, nimewahi kuungua mara chache kama ukikuta mchanganyaji hajui ratio yake na kuifanya kuwa nzito sana, kutoilowesha mara kwa mara wakati unasubiri ifanye kazi, na kuiacha kwa muda mrefu sana...akizingatia hayo huwezi kuungua wala kusikia kidevu kizito.

Inasaidia sana kwa hypersensitive skin zinazotoa mapele baada ya kushave (ndilo tatizo langu kubwa lakini magic inanisaidia). hata mimi nimeshajiuliza sana mechanism yake ya kufanya kazi. Kuna chemical kwenye Magic ambazo zikiwa kwenye ratio husika basi zinachoma na kulegeza nywele/ndevu tu mpka kwenye root, na hivyo unavyokuja kukwaruza zinatoka tu. Na kwa sababu imekatwa kwenye level ya root basi inachelewa kuota na kupunguza risk ya mwasho na ngozi kuvimba mapele.

Nilijaribu kufuatilia ingredients zake kama zina teratogenic effect (kusababisha kansa) au effect nyingine kwa ngozi lakini hakuna literature yeyote kuhusu hilo. Pia ni product ambayo watu wanatumia kwa muda mrefu sasa na only adverse effect ni kuungua skini iwapo anayekuhudumia hajui kuitumia vizuri (ratio, kulowesha na muda wa kusubiri).
 
Kusema kweli hata mimi natumia 'Magic' regularly kwa mwaka mzima sasa, nimewahi kuungua mara chache kama ukikuta mchanganyaji hajui ratio yake na kuifanya kuwa nzito sana, kutoilowesha mara kwa mara wakati unasubiri ifanye kazi, na kuiacha kwa muda mrefu sana...akizingatia hayo huwezi kuungua wala kusikia kidevu kizito.

Inasaidia sana kwa hypersensitive skin zinazotoa mapele baada ya kushave (ndilo tatizo langu kubwa lakini magic inanisaidia). hata mimi nimeshajiuliza sana mechanism yake ya kufanya kazi. Kuna chemical kwenye Magic ambazo zikiwa kwenye ratio husika basi zinachoma na kulegeza nywele/ndevu tu mpka kwenye root, na hivyo unavyokuja kukwaruza zinatoka tu. Na kwa sababu imekatwa kwenye level ya root basi inachelewa kuota na kupunguza risk ya mwasho na ngozi kuvimba mapele.

Nilijaribu kufuatilia ingredients zake kama zina teratogenic effect (kusababisha kansa) au effect nyingine kwa ngozi lakini hakuna literature yeyote kuhusu hilo. Pia ni product ambayo watu wanatumia kwa muda mrefu sasa na only adverse effect ni kuungua skini iwapo anayekuhudumia hajui kuitumia vizuri (ratio, kulowesha na muda wa kusubiri).

Sina jinsi ya kukushukuru vya kutosha ndugu yangu!
Ahsante sana kwa maelezo yote.
 
Back
Top Bottom