jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
Hello wanajamvi.
Salamu za upendo kwenu...
Ningependa kufahamu madhara yatokanayo na matumizi ya "Magic Powder"
kwa wale wasiofahamu jina hlo!
Namaanisha ule unga unaotumika kunyolea hasa ndevu.
Sikuhizi umekua maarufu sana kwenye hizi saloon zetu mtaani.
Nataraji msaada wenu kwa hili.
Nawasilisha!
Salamu za upendo kwenu...
Ningependa kufahamu madhara yatokanayo na matumizi ya "Magic Powder"
kwa wale wasiofahamu jina hlo!
Namaanisha ule unga unaotumika kunyolea hasa ndevu.
Sikuhizi umekua maarufu sana kwenye hizi saloon zetu mtaani.
Nataraji msaada wenu kwa hili.
Nawasilisha!