Magodoro bora na yanayodumu: Ushauri Kati ya QFL, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING n.k

Magodoro bora na yanayodumu: Ushauri Kati ya QFL, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING n.k

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Habari wanaJamiiForums, naomba ushauri wenu/kuukiza kuhusu magodoro bora na yanayodumu kwa muda mrefu.

Mwaka 2021 nilinunua godoro la kampuni ya super banco toka kipindi hicho mpaka sasa ni miaka 4, lakini sasa limeanza kumomonyoka na haliwezi tena kutumika.

Imrnilazimu kuingia tena dukani kununua godoro lingine. Kati ya magodoro kama QFL MAGODOLO DODOMA, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING, na DODOMA ASILIA, lipi ni kampuni gani wako vizuri au inagodoro nzuri?

Ningeomba kujua kwa wale wataalamu na wauzaji niambie pia uzoefu wenu binafsi na aina hizi za magodoro ili nijue ni godoro gani ninaloweza kununua nisijute kwa mara nyingine kwa ubora na uimara wake.

Asanteni sana!
 
Habari wanaJamiiForums, naomba ushauri wenu/kuukiza kuhusu magodoro bora na yanayodumu kwa muda mrefu.

Mwaka 2021 nilinunua godoro la kampuni ya super banco toka kipindi hicho mpaka sasa ni miaka 4, lakini sasa limeanza kumomonyoka na haliwezi tena kutumika.

Imrnilazimu kuingia tena dukani kununua godoro lingine. Kati ya magodoro kama QFL MAGODOLO DODOMA, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING, na DODOMA ASILIA, lipi ni kampuni gani wako vizuri au inagodoro nzuri?

Ningeomba kujua kwa wale wataalamu na wauzaji niambie pia uzoefu wenu binafsi na aina hizi za magodoro ili nijue ni godoro gani ninaloweza kununua nisijute kwa mara nyingine kwa ubora na uimara wake.

Asanteni sana!
Miaka minne ! Mbona limejitahidi sana. Mimi langu lilianza kuchoka baada ya mwaka mmoja au miwili hivi.

Katika hayo uliyoyataja, godoro bora ni TANFOAM. Ila uwe makini usiuziwe fake!
 
Miaka minne ! Mbona limejitahidi sana. Mimi langu lilianza kuchoka baada ya mwaka mmoja au miwili hivi.

Katika hayo uliyoyataja, godoro bora ni TANFOAM. Ila uwe makini usiuziwe fake!
Aisee! Kumbe tunateseka wengi hivi
 
Ili godoro kudumu kunahitaj vitu vingi.
Mfano mtu upo geto hilo hilo godoro ndo unalalapo na hilo hilo godoro (kitanda) ndio kiti.
Kitu kingine ni uzito mimi nina kilo 65 na mwenzangu ana kilo 85 hapa lazima uchakaaji wa magodoro yetu yatofautiane.
Hili ndio nalisikia leo 🤔🤔
 
QFL ukisoma karatasi zinaonyesha yanatoka China siku hizi kwahiyo hakuna tena Ubora wowote wa Tofauti
 
Hi
Habari wanaJamiiForums, naomba ushauri wenu/kuukiza kuhusu magodoro bora na yanayodumu kwa muda mrefu.

Mwaka 2021 nilinunua godoro la kampuni ya super banco toka kipindi hicho mpaka sasa ni miaka 4, lakini sasa limeanza kumomonyoka na haliwezi tena kutumika.

Imrnilazimu kuingia tena dukani kununua godoro lingine. Kati ya magodoro kama QFL MAGODOLO DODOMA, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING, na DODOMA ASILIA, lipi ni kampuni gani wako vizuri au inagodoro nzuri?

Ningeomba kujua kwa wale wataalamu na wauzaji niambie pia uzoefu wenu binafsi na aina hizi za magodoro ili nijue ni godoro gani ninaloweza kununua nisijute kwa mara nyingine kwa ubora na uimara wake.

Asanteni sana!
Vi kwanini pacha ya Himo biashara kubwa ni magodoro?
 
Nimechukua moja juzi naona wako vizuri TANFOAM hawa QFL wanataka mass production huko China ubora umeshuka
Mimi kuna mtu alinipa ushauri nikausikiliza nikafanya maamuzi siyo mbaya maana nilifanya research nikaamini
 
Nunua vita supreme au tanfoam na density zianzie 24 kupanda juu
Habari wanaJamiiForums, naomba ushauri wenu/kuukiza kuhusu magodoro bora na yanayodumu kwa muda mrefu.

Mwaka 2021 nilinunua godoro la kampuni ya super banco toka kipindi hicho mpaka sasa ni miaka 4, lakini sasa limeanza kumomonyoka na haliwezi tena kutumika.

Imrnilazimu kuingia tena dukani kununua godoro lingine. Kati ya magodoro kama QFL MAGODOLO DODOMA, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING, na DODOMA ASILIA, lipi ni kampuni gani wako vizuri au inagodoro nzuri?

Ningeomba kujua kwa wale wataalamu na wauzaji niambie pia uzoefu wenu binafsi na aina hizi za magodoro ili nijue ni godoro gani ninaloweza kununua nisijute kwa mara nyingine kwa ubora na uimara wake.

Asanteni sana!
 
Back
Top Bottom