atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kumbe ww dada ni mmojawapo wa wanaomiliki water front ndio sababu una nyodoNjoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata Leo
Wateja wa hayo magodoro[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli huu niliifungua ili nione kama nitapendezwa kilichokuwa kinauzwa,mwanzoni nilikutana na comments ambazo hazikufurahisha ila muda unavyozidi kusogea naona muuzaji na mteja wanaenda kuwa ...
Hahahahah hapo mtajuana wenyeweWateja wa hayo magodoro[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Duh!!!Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huku nikikutia viboko juu ili uache kumwaga mwaga nguoJamani tunashukuru kwa kampani yenu, lakini huku mwishoni mwishoni mngetuacha tuyamalize wenyewe... tutawapa feedback... si eti ladyAj?.
Nitawatupia picha ya ladyAj akiwa juu ya matandiko ya mbwa halafu mi naokota nguo chini.
Wamiliki wa water front ni NSSF sio mieKumbe ww dada ni mmojawapo wa wanaomiliki water front ndio sababu una nyodo
Kuhusu kumwaga mwaga usijali.. nitamwagia nje, i promise..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huku nikikutia viboko juu ili uache kumwaga mwaga nguo
Hapa umenikosea heshima mdogo wanguKuhusu kumwaga mwaga usijali.. nitamwagia nje, i promise..
Namaanisha nguo dear.. nikimwagamwaga ndani inafanya chumba kionekane kiko rafu..Hapa umenikosea heshima mdogo wangu
Kuhusu kumwaga mwaga usijali.. nitamwagia nje, i promise..
Hivi unajua bei ya godoro jipya kweli wewe..godoro la comfy 5×6 la inch nane ni tsh..180000 sasa hayo ya kwako yaliotumika unauza bei hiyo kwa sababu ni ya alluminuam au.Hello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki..
Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa sababu sijapewa mshahara wa mwezi uliopita..
Hivyo imenilazimu kuuza magodoro yangu mawili ambayo bado yapo katika hali nzuri.. yote mawili kwa 500k.. ila ukitaka moja utanipa 200k.. bei ni fixed.
Serious buyers tuwasiliane kwa 0687 089980..
Location: Mkuranga centre.
View attachment 505701
Binafsi bado ni mwanachama hai wa CHAPUTA.. so kuhamasisha vijana kutumikia chama ni wajibu wangu kaka.Mkuu kupiga picha na hizo nguo hapo pembeni ni uchochezi kwa wana CHAPUTA, binafs sifikiirii cha magodoro tena, n hizo nguo hapo hasa io kanga
Kaka hujawahi kuona nguo ya mtumba yenye bei kubwa kuliko za dukani?!..Hivi unajua bei ya godoro jipya kweli wewe..godoro la comfy 5×6 la inch nane ni tsh..180000 sasa hayo ya kwako yaliotumika unauza bei hiyo kwa sababu ni ya alluminuam au.
Wewe ni mbwa au unataka kulazia mbwa?!..kwa hayo magodolo yote mawili nakupa 40,000/ elfu arobaini tu. unasemaje?