Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
GoodBasi sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodBasi sawa
Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Usijali kaka..mtu aliyekulia kwenye royal family hawezi kuwa hivi.. hawa ni wale wenye uhakika wa kubadilisha mboga wanaoishi kwenye mitaa ya uswazi.. hivyo hujiona wako juu kwa sababu wamezungukwa na maskini.Huyo anaekudharau Na magodoro yako hajakutendea haki kwani yy hakulazimishwa kuyanunua muhimu angekaa kimya tu huenda ikawa godoro lake ni Yale majani ya mpunga au mabox usimdharau usiyemjua Bwana alokupa ww ndo kamnyima mwingine wakati mwingine tujifunze hakuna ajuaye Kesho yake
Dah mwanangu black chinese hujui kukasirika? Teh teh tehHaya Wahehe, kazi kwenu.. ulimi wa mbwa unauzwa kwa bei ya kutupa...
Kaka mshipa wa hasira ulikatikaga miaka 10 iliyopita nilipopataga ajali ya kuhanguka bafuni wakati nikitumikia chama (CHAPUTA)Dah mwanangu black chinese hujui kukasirika? Teh teh teh
Teh teh teh tupo pa1...me ni red brigade wa hiki chama mkuu...Kaka mshipa wa hasira ulikatikaga miaka 10 iliyopita nilipopataga ajali ya kuhanguka bafuni wakati nikitumikia chama (CHAPUTA)
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka mshipa wa hasira ulikatikaga miaka 10 iliyopita nilipopataga ajali ya kuhanguka bafuni wakati nikitumikia chama (CHAPUTA)
Mademu wengine bhana... Hapa anaona kajitutumua kabisa mwenyewe anaongea pointiii [emoji23] [emoji23]Njoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata Leo
Msameheni bure.. uwezo wake wa kufikiri ndo umeishia hapo mke wa mtu huyu.Mademu wengine bhana... Hapa anaona kajitutumua kabisa mwenyewe anaongea pointiii [emoji23] [emoji23]
Inabidi ujue hicho kichwa hukupewa kwa ajili ya kubebea Brazilian hair na makorokoro gani sijui. Yapaswa kifikirie vema otherwise inabaki kuwa mzigo kwa miguu
Umeshauza hizo ndimi mkuu?
Imeshabadilika na kuwa dear?,nadhani tunapoelekea itakuwa honeyDear, laana za binadamu hazina madhara iwapo utazipuuza..
Slow down please.. nitawapa feed back baada ya game..Imeshabadilika na kuwa dear?,nadhani tunapoelekea itakuwa honey
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli huu niliifungua ili nione kama nitapendezwa kilichokuwa kinauzwa,mwanzoni nilikutana na comments ambazo hazikufurahisha ila muda unavyozidi kusogea naona muuzaji na mteja wanaenda kuwa ...We mwenyewe ni laana kwangu maana isingelikua hii MIGORO YAKO nisingelaaniwa kwa kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuogopa
don't comment kama unalala kwenye banco watu wanafight walale kwenye godoro kama hilo wanalala mkekani.Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?