INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Huyo anaekudharau Na magodoro yako hajakutendea haki kwani yy hakulazimishwa kuyanunua muhimu angekaa kimya tu huenda ikawa godoro lake ni Yale majani ya mpunga au mabox usimdharau usiyemjua Bwana alokupa ww ndo kamnyima mwingine wakati mwingine tujifunze hakuna ajuaye Kesho yake
 
Jibu bora......diplomasia.....
Ni kama kumwambia muuliza swali hana ubongo, ila wewe umefanya kwa njia bora kabisa....

Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
 
Huyo anaekudharau Na magodoro yako hajakutendea haki kwani yy hakulazimishwa kuyanunua muhimu angekaa kimya tu huenda ikawa godoro lake ni Yale majani ya mpunga au mabox usimdharau usiyemjua Bwana alokupa ww ndo kamnyima mwingine wakati mwingine tujifunze hakuna ajuaye Kesho yake
Usijali kaka..mtu aliyekulia kwenye royal family hawezi kuwa hivi.. hawa ni wale wenye uhakika wa kubadilisha mboga wanaoishi kwenye mitaa ya uswazi.. hivyo hujiona wako juu kwa sababu wamezungukwa na maskini.
 
Njoo siku moja ,kuja hapa water front working days saa 10 jioni then ni Pm tutoke twende wote nyumbani, njoo hata Leo
Mademu wengine bhana... Hapa anaona kajitutumua kabisa mwenyewe anaongea pointiii [emoji23] [emoji23]

Inabidi ujue hicho kichwa hukupewa kwa ajili ya kubebea Brazilian hair na makorokoro gani sijui. Yapaswa kifikirie vema otherwise inabaki kuwa mzigo kwa miguu
 
Mademu wengine bhana... Hapa anaona kajitutumua kabisa mwenyewe anaongea pointiii [emoji23] [emoji23]

Inabidi ujue hicho kichwa hukupewa kwa ajili ya kubebea Brazilian hair na makorokoro gani sijui. Yapaswa kifikirie vema otherwise inabaki kuwa mzigo kwa miguu
Msameheni bure.. uwezo wake wa kufikiri ndo umeishia hapo mke wa mtu huyu.
 
Umeshauza hizo ndimi mkuu?
FB_IMG_1494776219637.jpg
 
We mwenyewe ni laana kwangu maana isingelikua hii MIGORO YAKO nisingelaaniwa kwa kweli [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuogopa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli huu niliifungua ili nione kama nitapendezwa kilichokuwa kinauzwa,mwanzoni nilikutana na comments ambazo hazikufurahisha ila muda unavyozidi kusogea naona muuzaji na mteja wanaenda kuwa ...
 
Back
Top Bottom