INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Mkaushieni huyu jamaa.. mkiendelea kumlaumu mtakuwa mnakufuru Mungu.. hata yeye pamoja na ubongo wake ameumbwa na Mungu huyu huyu ambaye wote tunamwabudu..
Daaah! Ubarikiwe sana kwa ambae hajaelewa naamini hatokaa aelewe maisha yake yote.
 
Nafahamu jinsi watoto walivyo waoga ndo maana tangazo hili nimewawekea watu wazima tu... rudisha simu kwa mama..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wewe ni balaaa mtaani
 
Mmh!! Wakati unaninyooshea kidole kusema neno moja kumbuka una vidole vi 4 vyakutazama, we angalia maisha yako tu inatosha my kindness or rudeness won't change your any thing
Kwani wakati unamnyooshea kidole mtoa mada kuwa anauza MATANDIKO ya MBWA vidole vyako vingine ulijichomeka wapi!
 
Kwani wakati unamnyooshea kidole mtoa mada kuwa anauza MATANDIKO ya MBWA vidole vyako vingine ulijichomeka wapi!
Usiingilie visivyo kuhusu, ila ngoja nikujibu
Sikumnyooshea mtu Kidole ila nilitoa maoni yangu kwa namna nilivyoyaona, sasa wanaokuja hapa kupoteza muda eti kunilaani wanachekesha sana hahahahaa lol wao wamelaaniwa na wangapi kwa mangapi waliyoyafanya hadi langu liwe jipya sana?
Hebu kabla hujasimama jichunguze kwanza suruali yako nzima? Otherwise mind ur business
 
Kwani kuna tatizo?
Ila wwe jike shupa kuna waya kichwani zitakua zimekatika sio bure maana sio kwa majibu yale[emoji16]
acha dharau hata kma unahic una kitu cha kujivunia, kumbuka utakufa na hutofufuka tena [emoji19]
 
Ila wwe jike shupa kuna waya kichwani zitakua zimekatika sio bure maana sio kwa majibu yale[emoji16]
acha dharau hata kma unahic una kitu cha kujivunia, kumbuka utakufa na hutofufuka tena [emoji19]
Hakuna atakayebaki milele tuliza mshono
 
Kelele za chura zisikunyime usingizi, kwann unapapalika na mie eti?
wwe ndo umepapalika na kumjibu mwenzio upuuzi c heri ungetuliza vimakalio vyako kuliko kuandika trash kama ile[emoji53]
 
wwe ndo umepapalika na kumjibu mwenzio upuuzi c heri ungetuliza vimakalio vyako kuliko kuandika trash kama ile[emoji53]
Hahahaa haya nimeshajibu so unataka kukata rufaa ama? Go ahead hata kwa Mungu kashtaki
 
usidhan wote tunapenda kusoma matakataka yale yan umenikwaza kweli ckutegemea nnavowaheshim wanawake kutakua na kiumbe kama wwe utawachafulia cv
 
Hahahaa haya nimeshajibu so unataka kukata rufaa ama? Go ahead hata kwa Mungu kashtaki
kajikatie rufaa mwenyewe maana wenzio wanafikiri kwa kutumia kichwa wwe akili zako ziliwekwa kwenye makalio
 
usidhan wote tunapenda kusoma matakataka yale yan umenikwaza kweli ckutegemea nnavowaheshim wanawake kutakua na kiumbe kama wwe utawachafulia cv
Mimi ni mtoto wa watu, ni mama wa watu, ni mke wa mtu, ni dada wa watu, ni rafiki wa watu, ni adui wa watu, najua imekua ngumu sana kuishi na ukampendeza kila mtu, na haiwezekani kumpendeza kila mtu, hivyo sishangai na wala sishtuki na kuto kupendezwa kwako
After all huu mjadara nilishafunga mbona?! Kuna mtu alinitaka niombe radhi nikafanya hivyo sasa unataka nifanye nini ili kifuu tundu ufurahi? Hebu nipumzishe kilichotoka kimetoka wala hakirudi nyuma, endelea kuumia ukizidiwa tukutane hospital
 
Back
Top Bottom