INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Hapana.... ila malezi yako hayakuwa mazuri dear..
Ni maoni yako nayaheshimu, ila Niko so much proud kua Mimi na kupitia kwenye Malezi ya Dr.Hadi mpaka hii Leo nawalea wengine, sijalelewa kua mwoga wa maneno na macho ya watu hivyo we endelea kushupaa tu Mimi nasimama na ninachokiamini na ndivyo ninavyowalea watoto wangu
 
Hapana kaka.. bado tunahitaji mchango wenu katika kuiimarisha thread yetu..
Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3
 
Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3
Ok.. ngoja basi nifungue thread nyingine ya kuuza majaba.. usikose kuja dear..
 
Ni maoni yako nayaheshimu, ila Niko so much proud kua Mimi na kupitia kwenye Malezi ya Dr.Hadi mpaka hii Leo nawalea wengine, sijalelewa kua mwoga wa maneno na macho ya watu hivyo we endelea kushupaa tu Mimi nasimama na ninachokiamini na ndivyo ninavyowalea watoto wangu
LadyAJ
 
Kumbe haja yako ilikua kuchangamsha fikra zako kwa kua na idadi ya page nyingi hahahahaaa pole sana imetosha sasa tafuta kingine cha maana bila lile neno langu nililoombea radhi hakika usingefika hata page 3
Sasa auze tv mbovu na kitanda[emoji23]
 
Hello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki..
Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa sababu sijapewa mshahara wa mwezi uliopita..
Hivyo imenilazimu kuuza magodoro yangu mawili ambayo bado yapo katika hali nzuri.. yote mawili kwa 150k.. ila ukitaka moja utanipa 80k.. bei ni fixed.
Serious buyers tuwasiliane kwa 0687 089980..
Location: Mkuranga centre.
View attachment 505701
Mhh mbona km yanatisha mkuu
 
Sasa mbona "una-bihevu" kama lilevi la kutupwa mitaroni! Next time be human, kid!
Mmh!! Wakati unaninyooshea kidole kusema neno moja kumbuka una vidole vi 4 vyakutazama, we angalia maisha yako tu inatosha my kindness or rudeness won't change your any thing
 
Back
Top Bottom